Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maaskofu KKKT Karagwe wacharuka

MAASKOFU, wachungaji na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, wamecharuka na kuvamia Kituo cha Polisi cha Karagwe wakipinga Mchungaji wao, Jackson Kanyiginya, kunyimwa dhamana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wa habari wacharuka

SIKU moja baada ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka waandishi wa habari wazuiwe kuingia katika vikao vya kamati za Bunge hilo zitakazokuwa zikijadili rasimu ya katiba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wacharuka Muleba

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu 30 wakazi wa Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za vurugu na uharibifu wa mali uliotokea wilayani humo, ikiwemo kuvunja chumba cha kuhifadhia maiti katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mapacha Wacharuka na Filamu ya Dada

WAIGIZAJI pacha, Regina Mroni na Christina Mroni, wameandaa bonge la muvi mpya iitwayo Dada.
Hata hivyo, ndani ya muvi hiyo ni Regina pekee ndiye aliyeigiza huku Christina akihusika kwenye upande wa utayarishaji, uongozaji na uandishi wa skpriti.

Wakiongea na FilamuCentral kutokea ndani ya ofisi za kampuni ya Tansquare Film House iliyoandaa sinema hiyo, mapacha hao wameeleza kuwa wamewasilisha ujumbe mzito ndani ya filamu hiyo.

Walisema kuwa filamu hiyo inamzungumzia msichana wa kazi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maafisa kodi wacharuka Argentina

Mamlaka ya kodi nchini Argentina imefanya msako kukamata taasisi zinazotakatisha fedha.

 

10 years ago

Mtanzania

Viongozi taasisi za dini wacharuka

GWAJIMAEsther Mbussi na Grace Shitundu, Dar es Salaam
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amezua jambo baada ya kuhusishwa na kauli ya Serikali kuhusu kuzifungia taasisi mbalimbali zikiwamo za kidini.
Hatua ya Askofu Gwajima kuziponza taasisi hizo, imetafsiriwa na viongozi wa dini siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe kutangaza tishio la kuzifuta taasisi hizo.
Kutokana na hatua hiyo, viongozi wa dini wamemtaka Waziri Chikawe kufuta kauli yake ambayo...

 

9 years ago

Habarileo

Mawaziri wacharuka kutumbua majipu

MAWAZIRI wa Serikali ya Awamu ya Tano wakiongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wameendelea kuzuru maeneo mbalimbali nchini wakitoa matamko mazito sanjari na kuendelea ‘kutumbua majipu’ .

 

9 years ago

Mwananchi

Wakuu wa mikoa wacharuka, faini ya Sh50,000

Mikoa mbalimbali nchini imeazimia kuwatoza  faini watu wote watu watakaobainika wakitupa taka ovyo ili kupambana na uchafuzi wa mazingira.

 

10 years ago

Vijimambo

WABUNGE WACHARUKA KASHFA AKAUNTI YA TEGETA-ESCROW NI SHEEEEDA

Naibu spika wa bunge Job Dungai, yeye ndiye kashikilia rungu, Ripoti " ijadiliwe au la"Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali, (PAC), Zitto Kabwe. Taarifa ya CAG kuhusu akaunti nya Tegeta Escrow, iko mikononi mwakeMnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, Tundu Lissu, (CHADEMA),akizunghumza bungeni mjini Dodoma jana, wakati lile sakata la IPTL, linalogubigwa na akauti iliyojichukulia umaarufu TEGETA ESCROW, lilipoibuka bungen...

 

11 years ago

GPL

MASHABIKI WES BROM WACHARUKA, WAIGOMEA JEZI MPYA

Hii ndo jezi mpya ya West Bromwich Albion. Jezi ya sasa ya West Bromwich. Mashabiki wa West Bromwich Albion wamecharuka na kupiga jezi yao mmpya wakidai inakwenda tofauti na utamaduni wao. Kawaida jezi ya Wes Brom imekuwa na michirizi mikubwa tofauti nah ii mpya ambayo inaonyesha kuwa na mistari midogomidogo sana, kitu ambacho wamepinga. Kutokana na hali hiyo, taarifa zinaeleza kuwa uongozi utalazimika kufanya mabadiliko kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani