Maafisa kodi wacharuka Argentina
Mamlaka ya kodi nchini Argentina imefanya msako kukamata taasisi zinazotakatisha fedha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo510 Jul
Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Wananchi wacharuka Muleba
Jeshi la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu 30 wakazi wa Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za vurugu na uharibifu wa mali uliotokea wilayani humo, ikiwemo kuvunja chumba cha kuhifadhia maiti katika...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Wadau wa habari wacharuka
SIKU moja baada ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka waandishi wa habari wazuiwe kuingia katika vikao vya kamati za Bunge hilo zitakazokuwa zikijadili rasimu ya katiba,...
10 years ago
Mtanzania16 Apr
Viongozi taasisi za dini wacharuka
Esther Mbussi na Grace Shitundu, Dar es Salaam
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amezua jambo baada ya kuhusishwa na kauli ya Serikali kuhusu kuzifungia taasisi mbalimbali zikiwamo za kidini.
Hatua ya Askofu Gwajima kuziponza taasisi hizo, imetafsiriwa na viongozi wa dini siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe kutangaza tishio la kuzifuta taasisi hizo.
Kutokana na hatua hiyo, viongozi wa dini wamemtaka Waziri Chikawe kufuta kauli yake ambayo...
9 years ago
Habarileo07 Jan
Mawaziri wacharuka kutumbua majipu
MAWAZIRI wa Serikali ya Awamu ya Tano wakiongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wameendelea kuzuru maeneo mbalimbali nchini wakitoa matamko mazito sanjari na kuendelea ‘kutumbua majipu’ .
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Maaskofu KKKT Karagwe wacharuka
MAASKOFU, wachungaji na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, wamecharuka na kuvamia Kituo cha Polisi cha Karagwe wakipinga Mchungaji wao, Jackson Kanyiginya, kunyimwa dhamana...
10 years ago
Bongo Movies23 Jul
Mapacha Wacharuka na Filamu ya Dada
WAIGIZAJI pacha, Regina Mroni na Christina Mroni, wameandaa bonge la muvi mpya iitwayo Dada.
Hata hivyo, ndani ya muvi hiyo ni Regina pekee ndiye aliyeigiza huku Christina akihusika kwenye upande wa utayarishaji, uongozaji na uandishi wa skpriti.
Wakiongea na FilamuCentral kutokea ndani ya ofisi za kampuni ya Tansquare Film House iliyoandaa sinema hiyo, mapacha hao wameeleza kuwa wamewasilisha ujumbe mzito ndani ya filamu hiyo.
Walisema kuwa filamu hiyo inamzungumzia msichana wa kazi...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Wakuu wa mikoa wacharuka, faini ya Sh50,000