Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau wa habari wacharuka

SIKU moja baada ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka waandishi wa habari wazuiwe kuingia katika vikao vya kamati za Bunge hilo zitakazokuwa zikijadili rasimu ya katiba,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari

IMG_2832

Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...

 

10 years ago

Michuzi

WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI, Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari kupitia namba 15778 Vodacom Tanzania

Meneja Uhusiano wa Umma wa
 Vodacom Tanzania,Matina NkurluWadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla   wanaendelea kupata habari za soka  zinazohusiana na   ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(VPL)Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi yanayohusiana ya burudani kupitia simu zao za mkononi kupitia huduma  maalum iliyozinduliwa mwaka juzi.Katika huduma hiyo ambayo inawafanya wateja kupata burudani ili kupata  taarifa  hizo za michezo na burudani anachotakiwa kufanya mteja...

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wa habari wakubaliana kushirikiana

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wadau wa habari, wamekubaliana kufanya kazi kwa karibu na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), ili kuboresha mahusiano kati ya Bunge hilo na waandishi wa habari wanaoripoti habari za Bunge hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wadau wawasilisha maombi kuzuia miswada ya habari

Wakati miswada miwili ya habari ya mwaka 2015 ikitarajiwa kuwasilishwa bungeni wiki ijayo chini ya hati ya dharura, wadau wa habari wamewasilisha ombi maalumu kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda wakimuomba atumie hekima zake kuishauri Serikali kuiwasilisha katika mfumo wa kawaida.

 

11 years ago

Habarileo

Wizara ya Habari haina ugomvi na wadau - Mukangara

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amesema wizara kamwe haina ugomvi na wadau wake kama baadhi ya watu wanavyodai mitaani. Alisema wizara inawajibika kutekeleza jukumu lake la kusimamia ipasavyo weledi katika tasnia ya habari nchini.

 

10 years ago

GPL

EFM RADIO YAZUNGUMZA NA WADAU WA HABARI ZA MITANDAO

Mtangazaji wa Radio 93.7 EFM ya jijini Dar es Salaam, Samira Kiango (pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wadau wa Habari za Mitandao, Clarence Mulisa kutoka Global Publishers & General Enterprises Ltd (kulia), Fredrick Bundara kutoka Bongo 5 (pili kushoto) pamoja na Othman Michuzi wa Mtaa kwa Mtaa Blog chini ya Michuzi Media Group, mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha Mezani, kilichokuwa kikijadili suala zima la...

 

10 years ago

Mwananchi

Wadau wapania kukwamisha Muswada wa Habari bungeni

>Jopo la wadau wa habari kutoka asasi, taasisi na vyombo vya habari nchini, limepanga kuwatumia wabunge kuwashawishi wakatae kupitisha muswada wa sheria ya habari uliopangwa kuwasilishwa bungeni kwa hati ya dharura.

 

10 years ago

GPL

WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI

Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu akiongea na wanahabari kuhusu huduma ya michezo kiganjani . -Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari
-Ni kupitia Vodacom Tanzania WADAU wa soka nchini na wateja wa Vodacom Tanzania kwa ujumla wanaendelea kupata habari za soka zinazohusiana na   Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara(VPL), Ligi Kuu ya Uingereza, na masuala mengine mengi yanayohusiana na burudani...

 

9 years ago

Michuzi

HUAWEI TANZANIA YAKUTANA NA WADAU WA HABARI JIJINI DAR

Mkuu wa Mahusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Huawei, Jimmy Jin akizungumza na waandishi wa habari wa Tanzania na China wakati wa mkutano na waandishi hao uliofanyika Makao makuu ya Kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwanzoni mwa wiki wenye malengo ya kuweka mahusiano mazuri na kati ya waandishi wa habari na Kampuni hiyo.
 Kampuni ya Huawei Tanzania leo hii imewakaribisha waandishi wa habari mbalimbali jijini Dar Es Salaam kupata chai ya asubuhi pamoja na mkutano mfupi kuelezea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani