Wizara ya Habari haina ugomvi na wadau - Mukangara
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amesema wizara kamwe haina ugomvi na wadau wake kama baadhi ya watu wanavyodai mitaani. Alisema wizara inawajibika kutekeleza jukumu lake la kusimamia ipasavyo weledi katika tasnia ya habari nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F1x62iZqBJA/UvooOQm4KdI/AAAAAAAFMWE/MpQGbbJcizo/s72-c/unnamed+(85).jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AKUTANA NA WADAU WA PSPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-F1x62iZqBJA/UvooOQm4KdI/AAAAAAAFMWE/MpQGbbJcizo/s1600/unnamed+(85).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7gzKU_wur_E/UvooO3q4kJI/AAAAAAAFMWI/KpIYaqqmjo0/s1600/unnamed+(86).jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Jz_xZ2mBS7g/Vl8NuqXGXZI/AAAAAAAIJ0E/WNYcybCaqho/s72-c/P1.jpg)
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yapongezwa kwa ushikiano inaotoa kwa wadau wa Vijana
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jz_xZ2mBS7g/Vl8NuqXGXZI/AAAAAAAIJ0E/WNYcybCaqho/s640/P1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KvS4TnYwbqE/Vl8Num34LmI/AAAAAAAIJ0I/5qpekTvKNJE/s640/P3.jpg)
10 years ago
Habarileo27 Jan
Mukangara: Vyombo vya habari vielimishe Katiba Inayopendekezwa
SERIKALI imevitaka vyombo ya habari nchini, kuwaelimisha wananchi kuhusu Katiba Inayopendekezwa ili waweze kujitokeza kwa wingi kuipigia kura.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYHWCn7n0G8/Vf7WavXd4nI/AAAAAAAH6VY/ZZ43ipJG7b4/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...