Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge amtisha DC Karagwe

Na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Karagwe (CCM), Gozibert Blandes, amemtishia kumfanyia kitu kibaya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Dari Rwegasira, kutokana na kuwapendelea wahamiaji haramu kutoka Rwanda.
Mbali na hilo pia mbunge huyo ameitaka Serikali kumhamisha.
Blandesi alitoa vitisho hivyo bungeni jana wakati akichangia bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2015/2016.

Alisema Rwegasira amekuwa mstari wa mbele kunyanyasa wananchi kwa kuwanyang’anya ardhi katika vijiji vilivyo mpakani na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Awadhi amtisha Kaseja

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Awadhi Juma, aliyefunga bao la tatu katika mechi ya Nani Mtani Jembe, amesema ana uchu wa kutikisa nyavu kwa sasa huku akimtishia nyau kipa wa Yanga,...

 

11 years ago

Habarileo

Katibu Mkuu amtisha Kafulila

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi ameibuka na kuzungumzia sakata la kuitwa Mwizi na Mbunge wa Kigoma Kusini,David Kafulila (NCCR –Mageuzi )na kumtaka kama ana ubavu azungumzie nje ya Bunge.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri amtisha Rais Yoweri Museveni

>Waziri wa Serikali za Mitaa nchini Uganda, Alex Onzima ametishia kujiuzulu wadhifa wake iwapo Rais Yoweri Museveni hatakubali kutia saini muswada unaohusu wapenzi wa jinsia moja.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Mganga wa kienyeji amtisha mgombea urais

MGANGA wa kienyeji kutoka Mkuranga mkoani Pwani, amemtabiria mgombea urais kupitia chama cha upinzani iwapo ataendelea kutumia fedha kurubuni wananchi wamchague atapoteza maisha kabla siku ya uchaguzi.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana mganga huyo aliyejitambulisha kwa jina la Elisha Kazimoto, ambaye hata hivyo hakutaka kutaja jina la mgombea huyo alisema ameoteshwa na mizimu kuwa anatumia fedha zinazochovywa kwenye damu na kugaiwa kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive kuelekea uchaguzi Mkuu: Julius Mtatiro amtisha Makongoro Mahanga Segerea

kMTATIROJulius Mtatiro wa CUF ambaye analiwania jimbo la Segerea …kupitia UKAWA

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Dar es Salaam). Mnamo Agosti 2.2015, Aliyekua Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Milton Makongoro  Mahanga ametangaza rasmi kujiunga  na upinzani kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).. hata hivyo  baada ya kutangaza huko tayari  wanasiasa mbalimbali wamekuwa na maoni yao huku wengine wakimtaka akubali ushindani ndani ya UKAWA.

Miongoni mwa wanasiasa hao ni pamoja na Kada...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA KARAGWE

Afungua ofisi ya Saccos ya Vijana wa CCM
Akabidhi pikipiki tano
Asisitiza kuimarisha Chama cha Mapinduzi
Ameahidi kusimamia haki na kutetea wanyonge
Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe.Gosbert Blandes akihutubia wakazi wa kata ya Kihanga ambao walijitokeza kwa wingi kumpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Kihanga waliojitokeza kwa wingi kuwapokea yeye na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC wa Karagwe apata ajali

MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kumchunguza DC wa Karagwe

Darry RwegasiraSERIKALI imepokea tuhuma dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira za madai ya kuwanyanyasa wananchi wa wilaya hiyo na kuwapa kipaumbele wahamiaji haramu kutoka Rwanda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maaskofu KKKT Karagwe wacharuka

MAASKOFU, wachungaji na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, wamecharuka na kuvamia Kituo cha Polisi cha Karagwe wakipinga Mchungaji wao, Jackson Kanyiginya, kunyimwa dhamana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani