Awadhi amtisha Kaseja
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Awadhi Juma, aliyefunga bao la tatu katika mechi ya Nani Mtani Jembe, amesema ana uchu wa kutikisa nyavu kwa sasa huku akimtishia nyau kipa wa Yanga,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 May
Mbunge amtisha DC Karagwe
Na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Karagwe (CCM), Gozibert Blandes, amemtishia kumfanyia kitu kibaya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Dari Rwegasira, kutokana na kuwapendelea wahamiaji haramu kutoka Rwanda.
Mbali na hilo pia mbunge huyo ameitaka Serikali kumhamisha.
Blandesi alitoa vitisho hivyo bungeni jana wakati akichangia bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2015/2016.
Alisema Rwegasira amekuwa mstari wa mbele kunyanyasa wananchi kwa kuwanyang’anya ardhi katika vijiji vilivyo mpakani na...
11 years ago
Habarileo28 Jun
Katibu Mkuu amtisha Kafulila
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi ameibuka na kuzungumzia sakata la kuitwa Mwizi na Mbunge wa Kigoma Kusini,David Kafulila (NCCR –Mageuzi )na kumtaka kama ana ubavu azungumzie nje ya Bunge.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Waziri amtisha Rais Yoweri Museveni
9 years ago
Raia Tanzania28 Aug
Mganga wa kienyeji amtisha mgombea urais
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Exclusive kuelekea uchaguzi Mkuu: Julius Mtatiro amtisha Makongoro Mahanga Segerea
Julius Mtatiro wa CUF ambaye analiwania jimbo la Segerea …kupitia UKAWA
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam). Mnamo Agosti 2.2015, Aliyekua Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Milton Makongoro Mahanga ametangaza rasmi kujiunga na upinzani kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).. hata hivyo baada ya kutangaza huko tayari wanasiasa mbalimbali wamekuwa na maoni yao huku wengine wakimtaka akubali ushindani ndani ya UKAWA.
Miongoni mwa wanasiasa hao ni pamoja na Kada...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jV_z7kk0xck/VOhcpyjtD_I/AAAAAAAHE8I/VM5azET1eeQ/s72-c/7.jpg)
DKT.SHEIN, DKT. BILAL WAONGOZA MAZISHI YA MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI SALMIN AWADHI SALMIN, MAKUNDUCHI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-jV_z7kk0xck/VOhcpyjtD_I/AAAAAAAHE8I/VM5azET1eeQ/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BzboS7J5xCM/VOhcquAzw6I/AAAAAAAHE8U/pgwuZwZrbOI/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gjz5fQe6n9A/VOhcq0XROwI/AAAAAAAHE8Y/TPHj3UQLUbU/s1600/9.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Kaseja ‘kushtakiwa’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2I-ABxGZyKWY0jBkT2Y-wVdFtRddRGH0-kVzdYQbd3PIM-bS*4ApOewa140TBipxHl*1j9iPMDrWYzKORHZliPV/KASEJA.jpg?width=500)
Kaseja majanga...
11 years ago
Mwananchi22 May
Kaseja hatihati
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10