Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KINANA KARAGWE

Afungua ofisi ya Saccos ya Vijana wa CCM
Akabidhi pikipiki tano
Asisitiza kuimarisha Chama cha Mapinduzi
Ameahidi kusimamia haki na kutetea wanyonge
Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe.Gosbert Blandes akihutubia wakazi wa kata ya Kihanga ambao walijitokeza kwa wingi kumpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Kihanga waliojitokeza kwa wingi kuwapokea yeye na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.Katibu Mkuu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA WILAYA YA KARAGWE MKOANI KAGERA.

 Sehemu ya ujenzi wa barabara ya Kyaka-Bugene inayojengwa wilayani Karagwe,yenye urefu wa Km 59.9 kwa mujibu wa Mkandarasi wa barabara hiyo alieleza kuwa mpaka kukamilika mnamo Desemba mwaka huu itakuwa imetumia kiasi cha shilingi bilioni 65 na ushehe.   Makandarasi wa kampuni ya kichina ya CHICCO, inayojenga barabara ya Kyaka-Bugene wilayani Karagwe, wakisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana aliyekwenda kukagua ujenzi huo eneo la Mugulakorongo, Ndama.Katibu wa NEC Itikadi...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbunge amtisha DC Karagwe

Na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Karagwe (CCM), Gozibert Blandes, amemtishia kumfanyia kitu kibaya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Dari Rwegasira, kutokana na kuwapendelea wahamiaji haramu kutoka Rwanda.
Mbali na hilo pia mbunge huyo ameitaka Serikali kumhamisha.
Blandesi alitoa vitisho hivyo bungeni jana wakati akichangia bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2015/2016.

Alisema Rwegasira amekuwa mstari wa mbele kunyanyasa wananchi kwa kuwanyang’anya ardhi katika vijiji vilivyo mpakani na...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kumchunguza DC wa Karagwe

Darry RwegasiraSERIKALI imepokea tuhuma dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira za madai ya kuwanyanyasa wananchi wa wilaya hiyo na kuwapa kipaumbele wahamiaji haramu kutoka Rwanda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC wa Karagwe apata ajali

MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waliokwepa sekondari kukiona Karagwe

DSC04591

Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.

Na Daniel Makaka, Sengerema.

Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira, amewaagiza Watendaji wa Kata kuwaorodhesha wazazi waliogoma kuwapeleka watoto wao shule baada ya kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2014 ili waweze kuchukuliwa hatua.

Watahiniwa waliofaulu mtihani wa elimu ya msingi mwaka 2013 ni 6,806 sawa na asilimia 50.9%, ambao kati ya hao wavulana ni 3,188 na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maaskofu KKKT Karagwe wacharuka

MAASKOFU, wachungaji na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, wamecharuka na kuvamia Kituo cha Polisi cha Karagwe wakipinga Mchungaji wao, Jackson Kanyiginya, kunyimwa dhamana...

 

10 years ago

Daily News

Karagwe women feel sidelined


Karagwe women feel sidelined
Daily News
A SECTION of women from Kyerwa and Karagwe districts have cited lack of confidentiality as a stumbling block to inheritance in distributing of assets left behind after death of a husband. They voiced their concern while discussing a topic on inheritance during ...

 

11 years ago

Daily News

Illiteracy increases in Karagwe schools


Illiteracy increases in Karagwe schools
Daily News
OVER 9,000 pupils in various primary schools in Karagwe District do not know how to read, write, or count. The Karagwe District Education Officer (Primary School), Mr Gideon Mwesiga, said a total of 9,786 pupils in 108 primary schools were found to be ...

 

10 years ago

Daily News

This Karagwe girl needs community support


This Karagwe girl needs community support
Daily News
Our sister paper 'Daily News on Saturday' on Saturday carried a story about a Form Two girl in Karagwe district, Kagera region who has been raped, and yet forced into marriage. This fifteen-year-old girl who studies at Kihanda Secondary School was held ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani