Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliokwepa sekondari kukiona Karagwe

DSC04591

Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.

Na Daniel Makaka, Sengerema.

Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira, amewaagiza Watendaji wa Kata kuwaorodhesha wazazi waliogoma kuwapeleka watoto wao shule baada ya kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2014 ili waweze kuchukuliwa hatua.

Watahiniwa waliofaulu mtihani wa elimu ya msingi mwaka 2013 ni 6,806 sawa na asilimia 50.9%, ambao kati ya hao wavulana ni 3,188 na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Waliokwepa Mabwepande sasa wakubali yaishe

Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam waliopewa viwanja katika eneo la Mabwepande baada ya kutakiwa kuondoka katika Bonde la Msimbazi na kuvitelekeza wameanza kuwasili kwenye eneo hilo baada ya Serikali kuanza kuvunja nyumba zilizojengwa katika maeneo yasiyoruhusiwa kisheria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waliokwepa kulipa kodi bandarini Tanzania wagunduliwa

Kampuni 43 ambazo zinamiliki makontena 329 yaliyokamatwa bandarini Tanzania wakati wa ziara ya kushtukiza ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa zimetambuliwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waliokwepa safari watakiwa kurejesha posho

Sakata la wabunge waliochukua posho kwa ajili ya safari za mafunzo nje ya nchi na kuacha kusafiri, limeingia hatua mpya baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda kuwataka wazirudishe.

 

5 years ago

Michuzi

WALIOKWEPA KULIPA KODI WAHUKUMIWA KULIPA BILIONI 1.5 BAADA YA KUKILI KOSA


Na Karama Kenyunko Michuzi TV,  
ALIYEKUWA Rais wa Kampuni ya Acacia, Deodatus Mwanyika na wenzake wamehukumiwa kulipa fidia ya Sh bilioni 1.5 baada ya kukiri mashitaka ya kukwepa kulipa kodi.
Pia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kulipa faini ya Sh milioni 1.5 1 ama kutumikia kifungo cha miezi minne gerezani iwapo watashindwa kulipa faini hiyo.

Mbali na Mwanyika washitakiwa wengine ni Meneja Uhusiano wa Mgodi wa Bulyanhulu, Alex Lugendo,  Mkurugenzi mtendaji wa mgodi wa Pongea, North...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA KARAGWE

Afungua ofisi ya Saccos ya Vijana wa CCM
Akabidhi pikipiki tano
Asisitiza kuimarisha Chama cha Mapinduzi
Ameahidi kusimamia haki na kutetea wanyonge
Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe.Gosbert Blandes akihutubia wakazi wa kata ya Kihanga ambao walijitokeza kwa wingi kumpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Kihanga waliojitokeza kwa wingi kuwapokea yeye na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC wa Karagwe apata ajali

MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbunge amtisha DC Karagwe

Na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Karagwe (CCM), Gozibert Blandes, amemtishia kumfanyia kitu kibaya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Dari Rwegasira, kutokana na kuwapendelea wahamiaji haramu kutoka Rwanda.
Mbali na hilo pia mbunge huyo ameitaka Serikali kumhamisha.
Blandesi alitoa vitisho hivyo bungeni jana wakati akichangia bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2015/2016.

Alisema Rwegasira amekuwa mstari wa mbele kunyanyasa wananchi kwa kuwanyang’anya ardhi katika vijiji vilivyo mpakani na...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kumchunguza DC wa Karagwe

Darry RwegasiraSERIKALI imepokea tuhuma dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira za madai ya kuwanyanyasa wananchi wa wilaya hiyo na kuwapa kipaumbele wahamiaji haramu kutoka Rwanda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maaskofu KKKT Karagwe wacharuka

MAASKOFU, wachungaji na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, wamecharuka na kuvamia Kituo cha Polisi cha Karagwe wakipinga Mchungaji wao, Jackson Kanyiginya, kunyimwa dhamana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani