Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliokwepa Mabwepande sasa wakubali yaishe

Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam waliopewa viwanja katika eneo la Mabwepande baada ya kutakiwa kuondoka katika Bonde la Msimbazi na kuvitelekeza wameanza kuwasili kwenye eneo hilo baada ya Serikali kuanza kuvunja nyumba zilizojengwa katika maeneo yasiyoruhusiwa kisheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Vigogo waliozua mvutano Maliasili wakubali yaishe

Serikali imetoa taarifa kwamba Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori Profesa Alexander Songorwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Matumizi Endelevu ya Wanyamapori, Profesa Jafari Kideghesho, wamekubali kuchukua majukumu mengine katika utumishi wa umma.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waliokwepa sekondari kukiona Karagwe

DSC04591

Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.

Na Daniel Makaka, Sengerema.

Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira, amewaagiza Watendaji wa Kata kuwaorodhesha wazazi waliogoma kuwapeleka watoto wao shule baada ya kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2014 ili waweze kuchukuliwa hatua.

Watahiniwa waliofaulu mtihani wa elimu ya msingi mwaka 2013 ni 6,806 sawa na asilimia 50.9%, ambao kati ya hao wavulana ni 3,188 na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waliokwepa safari watakiwa kurejesha posho

Sakata la wabunge waliochukua posho kwa ajili ya safari za mafunzo nje ya nchi na kuacha kusafiri, limeingia hatua mpya baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda kuwataka wazirudishe.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waliokwepa kulipa kodi bandarini Tanzania wagunduliwa

Kampuni 43 ambazo zinamiliki makontena 329 yaliyokamatwa bandarini Tanzania wakati wa ziara ya kushtukiza ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa zimetambuliwa.

 

9 years ago

IPPmedia

'Mabwepande plots not transferable'


'Mabwepande plots not transferable'
IPPmedia
The Dar es Salaam Regional Commissioner Said Mecky Sadick has warned people buying plots allocated for the 2011 flood victims at the Mabwepande area in Kinondoni District, saying the areas are non transferable and cannot be used as collateral.
Convince faithful to abandon flood-prone areas, clerics urgedDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

11 years ago

Mwananchi

Ujenzi Mabwepande wageuka kizungumkuti

Saa sita na dakika kadhaa mchana ninaingia katika eneo la Mabwepande, wilayani Kinondoni. Ingawa mvua inanyesha kila ninayemwona mbele yangu yupo ‘bize’ akijaribu kutengeneza sehemu ya kujihifadhi.

 

10 years ago

IPPmedia

New optimism for Dar`s Mabwepande residents


IPPmedia
New optimism for Dar`s Mabwepande residents
IPPmedia
Fatuma Chaborika (44) standing before her current shelter at Mabwepande area in Kinondoni district. PHOTO Frank Aman. Fatuma Chaborika (44) is among Mabwepande settlers who still live in shacks hurriedly erected using materials donated by ...

 

11 years ago

Habarileo

Mafundi gereji Tegeta wapelekwa Mabwepande

SERIKALI imewataka wananchi wanaojulikana kama Umoja wa Mafundi Gereji, waliopo eneo la Tegeta Wazo Hill jijini Dar es Salaam kuondoka eneo hilo kabla ya Agosti 17 mwaka huu na kuhamia eneo walilotaarifiwa, ili kutekeleza amri ya Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi.

 

10 years ago

Daily News

Plot sellers at Mabwepande to face legal action


Plot sellers at Mabwepande to face legal action
Daily News
MABWEPANDE-Mji Mwema residents in Kinondoni District, Dar es Salaam Region may face legal action if they dare sell plots allocated to them few years ago. The warning comes amidst reports that some members of the public have already made attempts ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani