Ujenzi Mabwepande wageuka kizungumkuti
Saa sita na dakika kadhaa mchana ninaingia katika eneo la Mabwepande, wilayani Kinondoni. Ingawa mvua inanyesha kila ninayemwona mbele yangu yupo ‘bize’ akijaribu kutengeneza sehemu ya kujihifadhi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Mabwepande kukabidhiwa vifaa vyao vya ujenzi
>Halmshauri ya Wilaya ya Kinondoni imekubali kuwakabidhi wakazi wa Mabwepande vifaa vya ujenzi walivyoahidiwa na Rais Jakaya Kikwete kwa masharti maalumu.
11 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA NYUMBA 851 ZA SERIKALI ZINAZOJENGWA MABWEPANDE JIJINI DAR
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ukaguzi wa ujenzi wa nyumba za Serikali zipatazo 851 zilizopo katika eneo la Mabwepande, Kinondoni,jijini Dar es Salaam zinazosimamiwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA). Huu ni muendelezo na mikakati ya Wizara ya Ujenzi ya kuwajengea na kuwauzia watumishi wa Serikali nyumba kwa bei nafuu.
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo kutoka Bw. Mwakalinga ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania.
Waziri wa...
9 years ago
IPPmedia11 Nov
'Mabwepande plots not transferable'
'Mabwepande plots not transferable'
IPPmedia
The Dar es Salaam Regional Commissioner Said Mecky Sadick has warned people buying plots allocated for the 2011 flood victims at the Mabwepande area in Kinondoni District, saying the areas are non transferable and cannot be used as collateral.
Convince faithful to abandon flood-prone areas, clerics urgedDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 2
11 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi wa Malawi wageuka 'Sarakasi'
Uchaguzi wa Malawi umeendelea kubeba sura mpya ya sarakasi za mapingamizi ya kisheria, baada ya mahakama kuu kuamuru Tume ya uchaguzi nchini humo iendelee na mipango ya kazi zake
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Malabo wageuka Uwanja wa Vita
Uwanja wa Malabo wageuka uwanja wa vita ulipokutanisha Ghana na Guinea ya Ikweta
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
'Wahubiri' wageuka washambuliaji Nigeria
Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram, wameshambulia wanakijiji na kuwaua watu 45 baada ya kuwahadaa kuwa wao ni wahubiri
10 years ago
IPPmedia20 Dec
New optimism for Dar`s Mabwepande residents
IPPmedia
New optimism for Dar`s Mabwepande residents
IPPmedia
Fatuma Chaborika (44) standing before her current shelter at Mabwepande area in Kinondoni district. PHOTO Frank Aman. Fatuma Chaborika (44) is among Mabwepande settlers who still live in shacks hurriedly erected using materials donated by ...
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Mji wa Bor S.Kusini wageuka mahame
Mji wa Bor uliokombolewa hivi karibuni na wanajeshi wa Serikari umeharibika kabisa kufuatia mapambano na waasi.
9 years ago
GPLJOKATE, KIBA WAGEUKA GUMZO TAIFA
Waandishi Wetu MASTAA wa Bongo Fleva, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na mkali wa kibao cha Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’, juzikati waligeuka kivutio ndani ya Uwanja wa Taifa, Dar mara baada ya kuwasili wakiwa katika pozi la kimahaba, pasipo kujali macho kodo ya mashabiki wa soka waliofurika uwanjani hapo. Mtaa wa Bongo Fleva, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na mkali wa kibao cha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania