Malabo wageuka Uwanja wa Vita
Uwanja wa Malabo wageuka uwanja wa vita ulipokutanisha Ghana na Guinea ya Ikweta
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Mwanza yageuka uwanja wa vita
Na waandishi wetu, mwanza na dodoma
KATIKATI ya Jiji la Mwanza jana paligeuka uwanja wa mapambano kati ya wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga), Mgambo wa Jiji na askari polisi huku mabomu zaidi ya 120 yakirindima kwa takriban saa nne na kulifanya eneo hilo lisikalike.
Mabomu hayo yalirindima maeneo mbalimbali ya mji, ikiwemo eneo maarufu la Makoroboi kutokana na kuvunjwa kwa vibanda vya machinga jana asubuhi, hali iliyowafanya wacharuke na kuanza mapambano na askari polisi na mgambo wa jiji...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Soka ni vita kwenye uwanja mstatili
Mchezo wa soka ni maarufu sana duniani. Mchezo huu una mashabiki wengi sehemu mbalimbali wanaoufuatilia. Soka ni mchezo wa akili zaidi kuliko unavyoonekana unachezwa uwanjani, pia huwa ni vita uwanjani kuwania kumiliki mpira.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s72-c/download%2B(2).jpg)
Simba SC , Kagera Sugar vita mpya uwanja wa Taifa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DEcqTAMOALE/VJyR3WIFNQI/AAAAAAAG50E/Djr26ui-NEE/s1600/download%2B(2).jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba SC, Mbeya City vita mpya Uwanja wa Taifa leo
Simba inaikabili Mbeya City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaofanyika Kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na inatakiwa kushinda mchezo huo ili kufufua matumaini ya kuwania ubingwa msimu huu.
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
'Wahubiri' wageuka washambuliaji Nigeria
Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram, wameshambulia wanakijiji na kuwaua watu 45 baada ya kuwahadaa kuwa wao ni wahubiri
11 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi wa Malawi wageuka 'Sarakasi'
Uchaguzi wa Malawi umeendelea kubeba sura mpya ya sarakasi za mapingamizi ya kisheria, baada ya mahakama kuu kuamuru Tume ya uchaguzi nchini humo iendelee na mipango ya kazi zake
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Ujenzi Mabwepande wageuka kizungumkuti
Saa sita na dakika kadhaa mchana ninaingia katika eneo la Mabwepande, wilayani Kinondoni. Ingawa mvua inanyesha kila ninayemwona mbele yangu yupo ‘bize’ akijaribu kutengeneza sehemu ya kujihifadhi.
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Mji wa Bor S.Kusini wageuka mahame
Mji wa Bor uliokombolewa hivi karibuni na wanajeshi wa Serikari umeharibika kabisa kufuatia mapambano na waasi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania