Soka ni vita kwenye uwanja mstatili
Mchezo wa soka ni maarufu sana duniani. Mchezo huu una mashabiki wengi sehemu mbalimbali wanaoufuatilia. Soka ni mchezo wa akili zaidi kuliko unavyoonekana unachezwa uwanjani, pia huwa ni vita uwanjani kuwania kumiliki mpira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAPENDA SOKA ZAIDI YA ELFU MOJA WASHINDWA KUANGALIA MECHI YA AZAM NA EL MELEKH YA SUDAN KWENYE UWANJA WA CHAMAZI LEO
Hali hiyo imekuja baada ya watu hao waliokuwa na tiketi zao mkononi kuambiwa uwanja umejaa,hivyo hakuna sehemu ya kuwaweka.
Taarifa za chini ya kapeti zinaeleza...
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Mwanza yageuka uwanja wa vita
Na waandishi wetu, mwanza na dodoma
KATIKATI ya Jiji la Mwanza jana paligeuka uwanja wa mapambano kati ya wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga), Mgambo wa Jiji na askari polisi huku mabomu zaidi ya 120 yakirindima kwa takriban saa nne na kulifanya eneo hilo lisikalike.
Mabomu hayo yalirindima maeneo mbalimbali ya mji, ikiwemo eneo maarufu la Makoroboi kutokana na kuvunjwa kwa vibanda vya machinga jana asubuhi, hali iliyowafanya wacharuke na kuanza mapambano na askari polisi na mgambo wa jiji...
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Malabo wageuka Uwanja wa Vita
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Soka ni vita akili ,nguvu,nidhamu uwanjani
9 years ago
StarTV30 Oct
Mashabiki wa soka wapungua Uwanja wa CCM Kirumba.
Kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Rais wabunge na madiwani nchini Oktoba 25 pamoja na mchezo kati ya Yanga na timu ya Mwadui ya mkoani Shinyanga ni miongoni mwa sababu ambazo zimetajwa kuchangia mashabiki kutoingia katika uwanja wa CCM Kirumba kushuhudia mchezo wa ligi kuu baina ya Toto African ya Mwanza na JKT Mgambo
Huku Ligi kuu ikiwa imeingia katika raundi ya tisa ushindani mkali unazidi kuongezeka,
Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Toto African ya jijini Mwanza Godwin Aiko...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba SC, Mbeya City vita mpya Uwanja wa Taifa leo
10 years ago
MichuziSimba SC , Kagera Sugar vita mpya uwanja wa Taifa leo
11 years ago
CloudsFM11 Jun
WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA
Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...