WAPENDA SOKA ZAIDI YA ELFU MOJA WASHINDWA KUANGALIA MECHI YA AZAM NA EL MELEKH YA SUDAN KWENYE UWANJA WA CHAMAZI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-9NUg__cE2Lk/VODJzw5CzAI/AAAAAAAHD0Q/Ct_riO-Wagc/s72-c/FILE0044.jpg)
Hali ya kustaajabisha imejitokeza jioni ya leo katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi,kwa washabiki na wadau wa soka zaidi ya elfu moja (1000) kushindwa kuingia uwanjani wakati wa mtanange uliozikutanisha timu za Azam Fc ya Tanzania na El Merreikh ya Sudan ikiwa ni mchezo wa awali wa michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Hali hiyo imekuja baada ya watu hao waliokuwa na tiketi zao mkononi kuambiwa uwanja umejaa,hivyo hakuna sehemu ya kuwaweka.
Taarifa za chini ya kapeti zinaeleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Hivi ndivyo Azam FC walivyoendeleza ubabe katika uwanja wao wa Chamazi dhidi ya Kagera, Cheki pichaz …
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena kwa michezo miwili kupigwa, Mwanza ulichezwa mchezo wa Toto Africans dhidi ya African Sports ya Tanga, wakati Dar Es Salaam katika dimba la Azam Complex Chamazi, kulikuwa kuna mchezo wa kuvutia kati ya Azam FC dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC ambao walikuwa katika uwanja wao wa nyumbai […]
The post Hivi ndivyo Azam FC walivyoendeleza ubabe katika uwanja wao wa Chamazi dhidi ya Kagera, Cheki pichaz … appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Zaidi ya wanajeshi elfu moja (1000) wa Israel wawekwa chini ya karantini kwa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s640/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Televisheni ya al Alam imenukuu taarifa iliyotolewa na Aviv Kochavi, mkuu wa majeshi ya Israel akisema kuwa, utawala huo umechukua hatua hiyo ili kupunguza idadi ya wanajeshi wake waliokumbwa na virusi hatari vya corona.
Siku ya Ijumaa pia utawala wa Kizayuni ulitangaza kuwa, mwanajeshi yeyote wa utwaala huo hana ruhusa ya kuondoka kwenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlNHWyGfSYJEuILOEASfp48cLtd4OgI-PRWXUVCEKV-WIR3UYQY5yvGrpZJVHwnxpua*ailCZdU509q5kvSe9sY/10258957_739466392760386_5015759206496137483_n.png?width=650)
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Uwanja Azam Complex waalika mechi za usiku
KLABU ya Azam FC imesema kuanzia sasa uwanja wao wa Azam Complex uliopo Chamazi, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam unaweza kutumika hata kwa mechi za usiku baada...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FI6k1c1gVZk/VdiIQETAaEI/AAAAAAAHzGo/2V9pORO1_pA/s72-c/MMGL0593.jpg)
MECHI YA YANGA NA AZAM UWANJA WA TAIFA HIVI SASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-FI6k1c1gVZk/VdiIQETAaEI/AAAAAAAHzGo/2V9pORO1_pA/s640/MMGL0593.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EzoK9Jg2bBU/VdiItBN_jrI/AAAAAAAHzG4/LVzYLb4hlXY/s640/MMGL0524.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/S7rzD8-0sEM/default.jpg)