Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mafundi gereji Tegeta wapelekwa Mabwepande

SERIKALI imewataka wananchi wanaojulikana kama Umoja wa Mafundi Gereji, waliopo eneo la Tegeta Wazo Hill jijini Dar es Salaam kuondoka eneo hilo kabla ya Agosti 17 mwaka huu na kuhamia eneo walilotaarifiwa, ili kutekeleza amri ya Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA NYUMBA KAIRUKI ATEMBELEA GEREJI TEGETA

 . Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Kairuki akizuru eneo la Magereji Tegeta.Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Kairuki atembelea eneo maalumu la Mradi wa Gereji kwa Vijana Tegeta. Eneo hili linajulikana kwa jina la Magereji kwakuwa ni eneo maalumu lililotengwa kwa vijana wanaojishughulisha na utengenezaji wa magari kutoka mitaa mbalimbali jijini Dar es salaam.  Mhe. Angela Kairuki akiangalia mitambo ya kisasa inayotumika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Angela Kairuki atembelea eneo maalumu la Mradi wa Gereji kwa Vijana Tegeta

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Kairuki atembelea eneo maalumu la Mradi wa Gereji kwa Vijana Tegeta. Eneo hili linajulikana kwa jina la Magereji kwakuwa ni eneo maalumu lililotengwa kwa vijana wanaojishughulisha na utengenezaji wa magari kutoka mitaa mbalimbali jijini Dar es salaam.

1

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Kairuki akizuru eneo la Magereji Tegeta.

2.1

Mhe. Angela Kairuki akiangalia mitambo ya kisasa inayotumika...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI‏

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana.DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na viongozi wa umoja huo.Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Nationi Ndela akitoa historia ya mgogoro huo mbele ya DC Makonda.Baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI‏

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana.  DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo.  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda… ...

 

9 years ago

IPPmedia

'Mabwepande plots not transferable'


'Mabwepande plots not transferable'
IPPmedia
The Dar es Salaam Regional Commissioner Said Mecky Sadick has warned people buying plots allocated for the 2011 flood victims at the Mabwepande area in Kinondoni District, saying the areas are non transferable and cannot be used as collateral.
Convince faithful to abandon flood-prone areas, clerics urgedDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

10 years ago

GPL

VIJANA WA GEREJI WASAKATA KABUNGU DAR

Wachezaji wa Timu ya Mnarani wakiwa kwenye pozi. Wachezaji wa timu ya  Macoaster wakiwa katika picha ya pamoja.…

 

10 years ago

IPPmedia

New optimism for Dar`s Mabwepande residents


IPPmedia
New optimism for Dar`s Mabwepande residents
IPPmedia
Fatuma Chaborika (44) standing before her current shelter at Mabwepande area in Kinondoni district. PHOTO Frank Aman. Fatuma Chaborika (44) is among Mabwepande settlers who still live in shacks hurriedly erected using materials donated by ...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakimbizi wa Burundi wapelekwa Nyarugusi

>Wakimbizi 720 kati ya 800 wanaoingia nchini kutoka Burundi wamewekwa kwenye Kambi ya Nyarugusi, Kasulu – Kigoma wengine wakiendelea na taratibu za kujiandikisha.

 

10 years ago

GPL

MDEE NA WENZAKE WAPELEKWA SEGEREA

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee. Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee na wenzake tisa wamepelekwa katika Gereza la Segerea jijini Dar baada ya kushindwa kutimiza baadhi ya masharti ya dhamana yao. Mdee na…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani