MDEE NA WENZAKE WAPELEKWA SEGEREA

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee. Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee na wenzake tisa wamepelekwa katika Gereza la Segerea jijini Dar baada ya kushindwa kutimiza baadhi ya masharti ya dhamana yao. Mdee na…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Oct
Saa 24 za Halima Mdee Segerea zaibua mazito
11 years ago
Mwananchi08 Oct
Halima Mdee akosa dhamana, alala Segerea
11 years ago
GPL
HALIMA MDEE ASIMULIA MAMBO 5 MAZITO YA SEGEREA
11 years ago
Habarileo21 Oct
Mdee, wenzake kizimbani leo
MBUNGE wa Jimbo la Kawe (Chadema), Halima Mdee (35) na wenzake wanane wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri halali ya Jeshi la Polisi wanatarajia kusomewa maelezo ya awali leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
11 years ago
GPL
MDEE NA WENZAKE WAPATA DHAMANA
11 years ago
Mwananchi22 Oct
Mahakama yampa onyo Mdee wenzake
10 years ago
Habarileo17 Dec
Halima Mdee, wenzake wapandishwa Kisutu
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wanne walisomewa maelezo ya awali jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo walikubali kuwa wafuasi wa Chadema na kwamba wanafahamiana.
10 years ago
GPLKESI YA HALIMA MDEE, WENZAKE KUENDELEA KESHO
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Mdee na wenzake huru, polisi wawakamata tena