Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Karagwe:Mapinduzi KDCU yametufariji

WANAUSHIRIKA wanaounda Chama Kikuu cha Ushirika cha wilaya za Karagwe na Kyerwa (KDCU), mkoani Kagera, wameonyesha furaha yao kutokana na kuondolewa kwa bodi ya chama hicho na  wajumbe wake kuzuiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MSIMU MPYA WA KAHAWA, KDCU WAZINDUA MIZANI YA KIELEKTRONIKI.


Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.

Chama cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Wilaya za Karagwe na Kyerwa (KDCU), kimezindua Mizani 15 mipya ya Kielektroniki yenye thamani ya shilingi Milioni 46, na kugawiwa katika Vyama vya Msingi, wakati tukielekea msimu mpya wa zao la kahawa.

Mizani hiyo imezinduliwa na iliyozinduliwa na kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti katika tukio lililofanyika mapema Mei 21, katika Viwanja vya Chama hicho Wilayani Karagwe, huku tukio hilo...

 

10 years ago

Mwananchi

Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra

Wakati Wazanzibari leo wakiadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, wanasiasa na wasomi wametaka wananchi hao kufanya mikakati muhimu ya maendeleo na kuacha fikra mgando zinazoathiri maendeleo yao na nchi yao.

 

5 years ago

Michuzi

TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.

Kutoka Kushoto aliyeshika kipaza sauti ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mh. Brig. Gaguti, akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mh. Rashid Mwaimu, Mkuu wa wilaya ya Karagwe Mh. Godfrey Muheruka, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Japhet Justine na mwenyekiti wa chama cha KDCU LTD Anselemi Alphonce.

Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA KARAGWE

Afungua ofisi ya Saccos ya Vijana wa CCM
Akabidhi pikipiki tano
Asisitiza kuimarisha Chama cha Mapinduzi
Ameahidi kusimamia haki na kutetea wanyonge
Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe.Gosbert Blandes akihutubia wakazi wa kata ya Kihanga ambao walijitokeza kwa wingi kumpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Kihanga waliojitokeza kwa wingi kuwapokea yeye na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC wa Karagwe apata ajali

MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbunge amtisha DC Karagwe

Na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Karagwe (CCM), Gozibert Blandes, amemtishia kumfanyia kitu kibaya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Dari Rwegasira, kutokana na kuwapendelea wahamiaji haramu kutoka Rwanda.
Mbali na hilo pia mbunge huyo ameitaka Serikali kumhamisha.
Blandesi alitoa vitisho hivyo bungeni jana wakati akichangia bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2015/2016.

Alisema Rwegasira amekuwa mstari wa mbele kunyanyasa wananchi kwa kuwanyang’anya ardhi katika vijiji vilivyo mpakani na...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kumchunguza DC wa Karagwe

Darry RwegasiraSERIKALI imepokea tuhuma dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira za madai ya kuwanyanyasa wananchi wa wilaya hiyo na kuwapa kipaumbele wahamiaji haramu kutoka Rwanda.

 

11 years ago

Daily News

Karagwe requires over 400 teachers


Karagwe requires over 400 teachers
Daily News
Karagwe District Education Officer (primary schools) Mr Gideon Mwesiga said the district needs a total of 1,929 primary school teachers. Meanwhile, over 1,300 students selected to join Form One this year in Karagwe district, have not reported for class for ...

 

10 years ago

Daily News

Karagwe women feel sidelined


Karagwe women feel sidelined
Daily News
A SECTION of women from Kyerwa and Karagwe districts have cited lack of confidentiality as a stumbling block to inheritance in distributing of assets left behind after death of a husband. They voiced their concern while discussing a topic on inheritance during ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani