Musharraf ashitakiwa kwa uhaini Pakistan
Mahakama nchini Pakistan imemsomea mashitaka ya uhaini mtawala wa zamani wa kijeshi Pervez Musharraf
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Washtakiwa Marekani kwa uhaini Gambia
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Mali kumchunguza rais Toure kwa uhaini
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Waliopanga mechi Nepal washtakiwa kwa uhaini
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Mengi atuhumiwa kwa uhaini *Mwenyewe aibuka na kukanusha
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi, ametuhumiwa kutaka kuiangusha Serikali ya Rais Jakaya Kikwete na kumshughulikia baada ya kumaliza uongozi wake Oktoba, mwaka huu.
Baada ya tuhuma hizo kuelekezwa kwake na gazeti la Taifa Imara lililochapishwa Machi 23, mwaka huu likiwa na kichwa cha habari kinachosema, ‘Zitto amchongea Mengi kwa JK? Mwenyewe ameibuka Dar es Salaam jana na kuzikanusha mbele ya waandishi wa habari akisema zimemshtua na...
5 years ago
BBCSwahili27 May
Idris Sultan ashitakiwa kwa kutumia namba ya simu isiyosajiliwa kwa jina lake
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Ashitakiwa kwa kutelekeza familia
MFANYABIASHARA Baseif Salum (46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kujibu shitaka la kutelekeza familia.
Mbele ya Hakimu Benjamin Mwakasonda, Karani Hatanawe Kitogo, mwishoni mwa wiki alidai mshitakiwa alitenda kosa hilo Januari Mosi mwaka huu, saa 4:00 asubuhi, eneo la Kariakoo, wilayani Ilala.
Anadaiwa kumtelekeza mkewe Rahma Said na watoto wawili bila kumpatia huduma yoyote, huku akijua anatenda kosa hilo kinyume cha sheria.
Mshitakiwa alikana kutenda...
10 years ago
GPLASHITAKIWA KWA KUMTIA MIMBA BINTIYE
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Jenerali wa jeshi ashitakiwa kwa ufisadi China
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Pervez Musharraf alazwa hospitali