Ashitakiwa kwa kutelekeza familia
MFANYABIASHARA Baseif Salum (46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kujibu shitaka la kutelekeza familia.
Mbele ya Hakimu Benjamin Mwakasonda, Karani Hatanawe Kitogo, mwishoni mwa wiki alidai mshitakiwa alitenda kosa hilo Januari Mosi mwaka huu, saa 4:00 asubuhi, eneo la Kariakoo, wilayani Ilala.
Anadaiwa kumtelekeza mkewe Rahma Said na watoto wawili bila kumpatia huduma yoyote, huku akijua anatenda kosa hilo kinyume cha sheria.
Mshitakiwa alikana kutenda...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Wakamatwa kwa kutelekeza maiti Bali
5 years ago
BBCSwahili27 May
Idris Sultan ashitakiwa kwa kutumia namba ya simu isiyosajiliwa kwa jina lake
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Musharraf ashitakiwa kwa uhaini Pakistan
10 years ago
GPLASHITAKIWA KWA KUMTIA MIMBA BINTIYE
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Jenerali wa jeshi ashitakiwa kwa ufisadi China
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kHZNBDqH1ZiBYPqZivIG2otbf8iiCzhDVa8ARvKV7*VZ59OoTVS*r-j6cbHHgKYfw4hl8odz6Mk5v85cBedPRoC0VbAjvN1i/sugeknight.jpg?width=650)
SUGE KNIGHT ASHITAKIWA KWA MAUAJI NCHINI MAREKANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-k2mU2q-1ZafceHutc6fwDo-aFkzjVbYP7b1YRFiTBRKpCGtyrJ8OQuA*tYrqNUqDCGEZq9PzSiG9dSpzVKU6FA/jackiechanandhissonjayceechan.jpg?width=650)
MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA
10 years ago
Vijimambo03 Feb
SUGE KNIGHT MATATANI TENA, ASHITAKIWA KWA MAUAJI
![](http://api.ning.com/files/kHZNBDqH1Zg9-qgJLW*qlUANVVbhmnpb63hQA6qPNeGQiPlTZZ3VtIjot-IRCBWxDLslb*ReZrvBUdktlmhJ*uLViS5njMfj/fatal.jpg?width=650)
ALIYEKUWA mwanamuziki wa Rap nchini Marekani, Marion "Suge" Knight ameshitakiwa kwa mauaji na jaribio la kutaka kuua baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka.
Iwapo itathibitika kuwa alifanya makosa hayo, Suge anaweza kuhukumiwa kifungo cha maisha jela.
Polisi wanasema kuwa Knight alijibizana na watu wawili wiki iliyopita katika eneo la kuegesha magari huko Compton, Los Angeles na baadaye...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
DC adaiwa kutelekeza watoto Brazil
WACHEZAJI sita wa ‘The Dream Team’ mkoani hapa waliofanikiwa kupata nafasi na kutimiza masharti ya kupelekwa nchini Brazil kushuhudia mechi za Kombe la Dunia wamekumbana na adha baada ya kulazwa...