Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ashitakiwa kwa kutelekeza familia

MFANYABIASHARA Baseif Salum (46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kujibu shitaka la kutelekeza familia.

Mbele ya Hakimu Benjamin Mwakasonda, Karani Hatanawe Kitogo, mwishoni mwa wiki alidai mshitakiwa alitenda kosa hilo Januari Mosi mwaka huu, saa 4:00 asubuhi, eneo la Kariakoo, wilayani Ilala.

Anadaiwa kumtelekeza mkewe Rahma Said na watoto wawili bila kumpatia huduma yoyote, huku akijua anatenda kosa hilo kinyume cha sheria.

Mshitakiwa alikana kutenda...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakamatwa kwa kutelekeza maiti Bali

Polisi kisiwani Bali nchini Indonesia wanawashikilia watu 2 baada ya mwili wa mwanamke kupatikana kwenye mfuko wa kusafiria.

 

5 years ago

BBCSwahili

Idris Sultan ashitakiwa kwa kutumia namba ya simu isiyosajiliwa kwa jina lake

Msanii huyo alikamatwa Jumanne wiki iliyopita baada ya kujisalimisha kituo cha polisi jiji Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Musharraf ashitakiwa kwa uhaini Pakistan

Mahakama nchini Pakistan imemsomea mashitaka ya uhaini mtawala wa zamani wa kijeshi Pervez Musharraf

 

10 years ago

GPL

ASHITAKIWA KWA KUMTIA MIMBA BINTIYE

MAHAKAMA moja mjini Bungoma nchini Kenya imemshtaki ofisa mmoja wa wadi ya Bukembe kwa kulala na mwanawe wa kike mwenye umri wa miaka 14 kwa zaidi ya miaka miwili baada ya mkewe kufariki mwaka 2013. Kulingana na gazeti la The Standard nchini Kenya, mwathiriwa ambaye ni mjamzito wa miezi minne amesema kuwa mshukiwa huyo ambaye ni babaake amekuwa akimlazimisha kufanya mapenzi naye kila usiku na kumuonya kwamba angemdhuru iwapo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jenerali wa jeshi ashitakiwa kwa ufisadi China

Viongozi wa mashitaka nchini China wamemfungulia mashitaka ya ufisadi na utumizi mbaya wa mamlaka afisaa mmoja mkuu wa zamani wa jeshi

 

10 years ago

GPL

SUGE KNIGHT ASHITAKIWA KWA MAUAJI NCHINI MAREKANI

Suge Knight. ALIYEKUWA mwanamuziki wa Rap nchini Marekani, Marion "Suge" Knight ameshitakiwa kwa mauaji na jaribio la kutaka kuua baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka. Eneo la Compton, Los Angeles ambapo Suge Knight aligonga mtu na kukimbia. Iwapo itathibitika kuwa alifanya makosa hayo, Suge anaweza kuhukumiwa kifungo cha maisha jela. Polisi wanasema kuwa Knight alijibizana na watu...

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA

Jackie Chan akiwa katika pozi na mwanaye Jaycee Chan (kulia). MTOTO wa staa wa filamu nchini Marekani, Jackie Chan, Jaycee Chan (32), ameshtakiwa kwa kosa la kuwakingia kifua watumia madawa ya kulevya nchini China. Jaycee Chan.…

 

10 years ago

Vijimambo

SUGE KNIGHT MATATANI TENA, ASHITAKIWA KWA MAUAJI

Eneo la Compton, Los Angeles ambapo Suge Knight aligonga mtu na kukimbia.
ALIYEKUWA mwanamuziki wa Rap nchini Marekani, Marion "Suge" Knight ameshitakiwa kwa mauaji na jaribio la kutaka kuua baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka.

Iwapo itathibitika kuwa alifanya makosa hayo, Suge anaweza kuhukumiwa kifungo cha maisha jela.

Polisi wanasema kuwa Knight alijibizana na watu wawili wiki iliyopita katika eneo la kuegesha magari huko Compton, Los Angeles na baadaye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC adaiwa kutelekeza watoto Brazil

WACHEZAJI sita wa ‘The Dream Team’ mkoani hapa waliofanikiwa kupata nafasi na kutimiza masharti ya kupelekwa nchini Brazil kushuhudia mechi za Kombe la Dunia wamekumbana na adha baada ya kulazwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani