Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA

Jackie Chan akiwa katika pozi na mwanaye Jaycee Chan (kulia). MTOTO wa staa wa filamu nchini Marekani, Jackie Chan, Jaycee Chan (32), ameshtakiwa kwa kosa la kuwakingia kifua watumia madawa ya kulevya nchini China. Jaycee Chan.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Jackie Chain asema mwanae aliyekamatwa na dawa za kulevya China amemuaibisha sana

Kama mzazi, mwanao anapojihusisha katika kitendo cha aibu ni lazima hata wewe mwenyewe utajiskia aibu, ndivyo anavyojiskia muigizaji wa filamu za Hollywood, Jackie Chan baada ya mtoto wake wa kiume kukamatwa na dawa za kulevya. Baba na mwana Jacky Chan amesema mwanae aitwaye Jaycee amemuaibisha sana yeye na familia nzima hasa mama yake, baada ya […]

 

10 years ago

Bongo5

Polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwa mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina

Familia ya mtoto wa kike wa marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina imethibitisha kuwa polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwake baada ya kurudi kwa mara ya pili kufanya ukaguzi, TMZ imeripoti. Binti huyo mwenye miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ Jumamosi iliyopita akiwa amepoteza fahamu. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, siku moja kabla ya […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Jackie Chan akamatwa na Bhangi

Mwanawe msanii Jackie Chan Jaycee amekamatwa na bhangi

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Bangi yamtia jela mwanawe Jackie Chan

Jacee Chan mwana wa mwana nyota wa filamu Jackie Chan amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kutumia mihadarati.

 

10 years ago

Mwananchi

Habari ya mtoto wa dawa za kulevya ituamshe

Katika toleo letu la jana, Desemba 29, 2014 kwenye ukurasa wa mbele tulikuwa na habari iliyomhusu mtoto wa miezi mitatu ambaye ameathirika na dawa za kulevya kutokana na mama yake kuwa mtumiaji mkubwa wa dawa hizo haramu.

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria

Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Madawa ya Kulevya Bw.james Kaji akiwasilisha hotuba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) kuhusu utekelezaji wa mikataba mbalimbali ya Kimataifa ya Madawa ya Kulevya. Tanzania katika mkutano huu, unaofanyika Vienna, Austria,imekuwa ni mfano bora wa namna ambavyo wameweza kujiimarisha katika Mapambano Dhidi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto wa miezi mitatu mwathirika dawa za kulevya

Mtoto mwenye umri wa miezi mitatu, mkazi wa Buza, Dar es Salaam amebainika kuwa mwathirika wa dawa za kulevya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani