MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA
![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-k2mU2q-1ZafceHutc6fwDo-aFkzjVbYP7b1YRFiTBRKpCGtyrJ8OQuA*tYrqNUqDCGEZq9PzSiG9dSpzVKU6FA/jackiechanandhissonjayceechan.jpg?width=650)
Jackie Chan akiwa katika pozi na mwanaye Jaycee Chan (kulia). MTOTO wa staa wa filamu nchini Marekani, Jackie Chan, Jaycee Chan (32), ameshtakiwa kwa kosa la kuwakingia kifua watumia madawa ya kulevya nchini China. Jaycee Chan.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo521 Aug
Jackie Chain asema mwanae aliyekamatwa na dawa za kulevya China amemuaibisha sana
Kama mzazi, mwanao anapojihusisha katika kitendo cha aibu ni lazima hata wewe mwenyewe utajiskia aibu, ndivyo anavyojiskia muigizaji wa filamu za Hollywood, Jackie Chan baada ya mtoto wake wa kiume kukamatwa na dawa za kulevya. Baba na mwana Jacky Chan amesema mwanae aitwaye Jaycee amemuaibisha sana yeye na familia nzima hasa mama yake, baada ya […]
10 years ago
Bongo504 Feb
Polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwa mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina
Familia ya mtoto wa kike wa marehemu Whitney Houston, Bobbi Kristina imethibitisha kuwa polisi walikuta dawa za kulevya nyumbani kwake baada ya kurudi kwa mara ya pili kufanya ukaguzi, TMZ imeripoti. Binti huyo mwenye miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ Jumamosi iliyopita akiwa amepoteza fahamu. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, siku moja kabla ya […]
10 years ago
BBCSwahili19 Aug
11 years ago
Michuzi13 Feb
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Bangi yamtia jela mwanawe Jackie Chan
Jacee Chan mwana wa mwana nyota wa filamu Jackie Chan amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kutumia mihadarati.
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Habari ya mtoto wa dawa za kulevya ituamshe
Katika toleo letu la jana, Desemba 29, 2014 kwenye ukurasa wa mbele tulikuwa na habari iliyomhusu mtoto wa miezi mitatu ambaye ameathirika na dawa za kulevya kutokana na mama yake kuwa mtumiaji mkubwa wa dawa hizo haramu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Mtoto wa miezi mitatu mwathirika dawa za kulevya
Mtoto mwenye umri wa miezi mitatu, mkazi wa Buza, Dar es Salaam amebainika kuwa mwathirika wa dawa za kulevya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania