Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jenerali wa jeshi ashitakiwa kwa ufisadi China

Viongozi wa mashitaka nchini China wamemfungulia mashitaka ya ufisadi na utumizi mbaya wa mamlaka afisaa mmoja mkuu wa zamani wa jeshi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI AONGOZA KIKAO MAALUM CHA KUPITIA RASIMU YA MPANGO WA WA JESHI LA MAGEREZA KUJITOSHELEZA CHAKULA, JIJINI DAR

 Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja akifungua Kikao Maalum cha Wadau kutoka nje ya Magereza(hawapo pichani) cha kujadili rasimu ya Mpango wa Jeshi la Magereza wa kujitosheleza kwa chakula cha Wafungwa waliopo Magerezani. Kikao hicho kimefanyika leo Desemba 8, 2015 katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es Salaam. Mshauri Mwelekezi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Beatus Kundy(aliyesimama) akiwasilisha rasimu ya Mpango wa Jeshi la Magereza wa...

 

11 years ago

Michuzi

JK akutana na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan leo

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea  Waziri wa Ulinzi wa China na ujumbe wake Jenerali Chang Wanquan Ikulu jijini Dar es salaam leo Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika  mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan  Ikulu jijini Dar es salaam leo Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Ulinzi wa China  Ikulu jijini Dar es salaam leoRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na Waziri wa Ulinzi wa China na ujumbe wake Jenerali...

 

5 years ago

BBCSwahili

Idris Sultan ashitakiwa kwa kutumia namba ya simu isiyosajiliwa kwa jina lake

Msanii huyo alikamatwa Jumanne wiki iliyopita baada ya kujisalimisha kituo cha polisi jiji Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jela siku 1 iwe ilani ya Ufisadi China

Maafisa wa serikali Mashariki mwa China wamelazimika kuzuru gereza moja nchini humo kama ilani ya kutoshiriki ufisadi.

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA CHINA JENERALI CHANG WANQUAN

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Waziri wa Ulinzi wa China na ujumbe wake Jenerali Chang Wanquan Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika  mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan  Ikulu jijini Dar es salaam.…

 

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AWATAKA WATANZANIA KUTHAMINI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA JESHI HILO

Na Lucas Mboje
Watanzania wametakiwa kuthamini na kutumia bidhaa zinazozalishwa na Jeshi la Magereza hapa nchini zikiwemo Samani za ndani na Ofisi.
Mwito huo umetolewa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir Minja wakati akiongea na Waandishi wa Habari mara tu baada ya kutanganzwa rasmi Jeshi la Magereza kuwa Mshindi wa kwanza kwa upande wa utengenezaji wa bidhaa za Samani za ndani katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika uwanja wa Mwalimu...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ashitakiwa kwa kutelekeza familia

MFANYABIASHARA Baseif Salum (46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kujibu shitaka la kutelekeza familia.

Mbele ya Hakimu Benjamin Mwakasonda, Karani Hatanawe Kitogo, mwishoni mwa wiki alidai mshitakiwa alitenda kosa hilo Januari Mosi mwaka huu, saa 4:00 asubuhi, eneo la Kariakoo, wilayani Ilala.

Anadaiwa kumtelekeza mkewe Rahma Said na watoto wawili bila kumpatia huduma yoyote, huku akijua anatenda kosa hilo kinyume cha sheria.

Mshitakiwa alikana kutenda...

 

5 years ago

CCM Blog

NMB YAMPONGEZA MEJA JENERALI CHARLES MBUGE KUWA MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA

 Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Benki ya NMB, Juma Kimori (aliyenyoosha mkono) akimwelezea jambo Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali, Charles Mbuge ( wa pili kushoto) wakati wafanyakazi wa benki hiyo, walipotembelea Makao Makuu ya Jeshi hilo, Wilayani Chamwino mkoani Dodoma.

Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Benki ya NMB, Juma Kimori (wa kwanza kushoto) akimpongeza Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali, Charles Mbuge (katikati) kwa kupandishwa cheo kuwa Mkuu wa JKT, wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani