RC Makonda apongeza TAA kwa kujidhatiti kwa Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-_1w42-eHWSs/XnoZhj3B2VI/AAAAAAAC8xQ/bp1H7bJrkvEIOEBK9Phe0hDk2UvpFAKtACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5342.jpg)
Ataka wananchi kufuata masharti yaliyotolewaAsema kuanzia kesho mitaa kupuliziwa dawa Na Bahati Mollel,TAA
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameipongeza Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), kwa kujipanga vyema kwa kushirikiana na wahudumu wa afya kwa kuweka maji yenye dawa maalum ya kunawa mikono na kupima joto la mwili kwa watu wote wanaoingia na kutoka maeneo ya viwanja vya ndege, ili kuzuia kuingia zaidi kwa watu walioambukizwa ugonjwa wa homa kali ya Mapafu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI UMMY MWALIMU AMKABIDHI RC MAKONDA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO KWA AJILI YA KUWAKINGA WANANCHI NA CORONA.
5 years ago
MichuziTUNAANZA RASMI ZOEZI LA KUPULIZA DAWA YA KUUA WADUDU NA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA KESHO-RC MAKONDA
RC Makonda amesema kwa kufanya hivyo itasaidia pia kuua Vimelea na Wadudu kama Mbu wanaoenzeza ugonjwa wa Malaria, homa ya dengu na magonjwa mengineyo na kufanya jiji hilo kuwa katika hali nzuri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
11 years ago
Bongo530 Jul
Zitto Kabwe apongeza nguvu ya mitandao ya kijamii kwa kusababisha kusitishwa kwa ajira katika idara ya uhamiaji
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq9sgK62kkAuMFrfXtYHYyDxgom9WLO7BdILi1-dr68mSfekisDdvbmKLOetMmNQ6fK0sqPxg2ZxkOi1oyE*DF*l/motoo.jpg)
AJILIPUA KWA MAFUTA YA TAA
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Utandawazi umezima taa ya maadili kwa vijana
KUTOKANA na maendeleo ya Sayansi na Teknolojia, suala ya utandawazi limekuwa likilalamikiwa kuwa chanzo cha kufifisha maadili ya Tanzania. Watu wengi hususan vijana wamekuwa wakiishi kwenye giza la uovu. Vitu...
10 years ago
Habarileo07 Jan
Ngeleja apongeza wanaCCM Sengerema kwa ushindi
MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja amewashukuru wananchi wa jimbo lake la uchaguzi kwa kukipatia ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka jana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-48LrqjpX1TI/XmN7GqXMBzI/AAAAAAALhsw/jZD9K0bIaT8opdOBYo8XmfrEG6k-rei3ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_4751-768x512.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YARIDHISHWA NA UKAGUZI WA CORONA TB3
![](https://1.bp.blogspot.com/-48LrqjpX1TI/XmN7GqXMBzI/AAAAAAALhsw/jZD9K0bIaT8opdOBYo8XmfrEG6k-rei3ACLcBGAsYHQ/s640/DSC_4751-768x512.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Dkt Masatu Chiguma akipimwa joto la mwili na Afisa Afya, Yusta Malisa wakati bodi hiyo ilipotembelea Jengo la Tatu la Abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA-TB3), kwa ziara ya kikazi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_4819.jpg)
Wajumbe wa Bodi ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wakiangalia moja ya begi likipita kwenye mkanda ikiwa ni hatua ya tatu kwa ukaguzi kabla halijafika hatua ya mwisho...
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Kombani apongeza TPSC kwa kutoa wahitimu bora
HIVI karibuni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, alikipongeza Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kwa kutoa wahitimu bora. Kombani alitoa pongezi...