Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyambui amsimamisha kazi mfanyakazi wake

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, amesema kukosekana kwa katiba katika Shirikisho hilo sio sababu ya wanamichezo kufanya vibaya katika mashindano ya Kitaifa na Kimataifa. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

DC Mkalama afuata nyayo za Rais Magufuli, amsimamisha kazi kwa muda usiojulikana Katibu Afya wake

IMG_1006

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Christopher Ngubiangai,akitoa taarifa ya kumsimamisha kazi kwa muda usiojulikana katibu wa afya wa wilaya ya Mkalama,James Ndembo,kwa tuhuma ya kutafuna zaidi ya shilingi 19.6 milioni zilizokuwa zitumike kuhabarisha na kutoa elimu kwa wananchi,juu ya magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele.(Picha na Nathanile Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida,Christopher Ngubiangai,ameanza rasmi ‘kutumbua majipu’ baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE KENYA AMFUKUZA KAZI MFANYAKAZI WAKE BAADA YA KUKATAA KUFANYA NAE MAPENZI

Susan Wambui MainaJuja MP Francis Munyua Waititu       Susan Wambui Maina              Juja MP Francis Munyua Waititu
Sacking people through texts its nothing new.
Recently Juja MP Francis Munyua Waititu sacked one of his employees Susan Wambui through text.

But that is not the shocking part…
The Juja Member of Parliament is believed to have demanded sex from Wambui and when she did not agree to his demands, he gave her the sack via text.
Wambui who works as a secretary at the Juja CDF Offices shared the texts sent to her by the Juja MP on...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanri amsimamisha kazi mhandisi

NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri amemsimamisha kazi Kaimu Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Paschal Manyama.

 

10 years ago

Mwananchi

Lukuvi amsimamisha kazi ofisa ardhi

Kufuatia kukithiri kwa migogoro ya ardhi mkoani Mwanza, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amemsimamisha kazi Ofisa Ardhi Manispaa ya Ilemela, Asubuhi Otieno.

 

9 years ago

StarTV

Rais amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu RAHCO

Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za Reli Tanzania RAHCO Mhandisi Benhadard Tito kupisha uchunguzi wa kina kutokana na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.

 Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema Rais Magufuli amefikia uamuzi huo baada ya kuitisha kikao cha wataalamu kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkuu wa mkoa amsimamisha kazi mhandisi wa wilaya

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Fatma Mwassa ameagiza kusimamishwa kazi Mhandisi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Suleiman Paul na Ofisa Ugavi wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Denis Nyisaba ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za kuisabababishia Serikali hasara ya mamilioni ya fedha.

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa RAHCO

IMG_7092

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kuhudumia Miundombinu ya Reli (RAHCO) Benhadard Tito (katikati). (Picha na Maktaba).

Rais wa Jamhuri ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito ili kupisha uchunguzi wa kina kufuatia ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya...

 

9 years ago

Habarileo

Mufti amsimamisha kazi ofisa tawala kashfa ya kodi

MUFTI wa Tanzania, Shehe Mkuu Abubakari Zuberi amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Utawala wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Karim Majaliwa kwa ajili ya kupisha uchunguzi juu ya kashfa ya magari 82 pamoja na matumizi mabaya ya ofisi.

 

9 years ago

Global Publishers

Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya RAHCO

DSC_0792Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito (kulia).

Rais wa Jamhuri ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito ili kupisha uchunguzi wa kina kufuatia ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Katibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani