Lukuvi amsimamisha kazi ofisa ardhi
Kufuatia kukithiri kwa migogoro ya ardhi mkoani Mwanza, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amemsimamisha kazi Ofisa Ardhi Manispaa ya Ilemela, Asubuhi Otieno.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Dec
Mufti amsimamisha kazi ofisa tawala kashfa ya kodi
MUFTI wa Tanzania, Shehe Mkuu Abubakari Zuberi amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Utawala wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Karim Majaliwa kwa ajili ya kupisha uchunguzi juu ya kashfa ya magari 82 pamoja na matumizi mabaya ya ofisi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
5 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI
5 years ago
CCM BlogWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WALIOTELEKEZA HATI ZAO ZA ARDHI AMBAZO ZIPO TAYARI
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Ardhi nchini kuhakikisha wanawafuatilia wamiliki wa ardhi ambao hati zao zimekamilika lakini...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mwanri amsimamisha kazi mhandisi
NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri amemsimamisha kazi Kaimu Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Paschal Manyama.
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Nyambui amsimamisha kazi mfanyakazi wake
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, amesema kukosekana kwa katiba katika Shirikisho hilo sio sababu ya wanamichezo kufanya vibaya katika mashindano ya Kitaifa na Kimataifa. Akizungumza...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Mkuu wa mkoa amsimamisha kazi mhandisi wa wilaya
9 years ago
StarTV23 Dec
Rais amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu RAHCO
Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za Reli Tanzania RAHCO Mhandisi Benhadard Tito kupisha uchunguzi wa kina kutokana na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema Rais Magufuli amefikia uamuzi huo baada ya kuitisha kikao cha wataalamu kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali...