DC Mkalama afuata nyayo za Rais Magufuli, amsimamisha kazi kwa muda usiojulikana Katibu Afya wake
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Christopher Ngubiangai,akitoa taarifa ya kumsimamisha kazi kwa muda usiojulikana katibu wa afya wa wilaya ya Mkalama,James Ndembo,kwa tuhuma ya kutafuna zaidi ya shilingi 19.6 milioni zilizokuwa zitumike kuhabarisha na kutoa elimu kwa wananchi,juu ya magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele.(Picha na Nathanile Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida,Christopher Ngubiangai,ameanza rasmi ‘kutumbua majipu’ baada ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya RAHCO
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito (kulia).
Rais wa Jamhuri ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito ili kupisha uchunguzi wa kina kufuatia ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Katibu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K2mqGgno4ZE/VlhmpPjqKEI/AAAAAAAIIn8/FPEkOPRsyto/s72-c/45.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ......: RAIS MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA TRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-K2mqGgno4ZE/VlhmpPjqKEI/AAAAAAAIIn8/FPEkOPRsyto/s640/45.jpg)
Hatua hiyo imekuja baada kubaini kupitishwa kwa makontena zaidi ya 300 na kusababishia hasara Serikali ya zaidi ya shilingi bilioni 80.
Rais Magufuli pia amemteua Katibu...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Baada ya kumsimamisha kwa muda usiojulikana, Dec 28 Yanga yatangaza maamuzi magumu kwa Niyonzima …
Baada ya stori za muda mrefu kuhusu kiungo wa kimataifa wa Rwanda anayekipiga katika klabu ya Yanga Haruna Niyonzima, uongozi wa klabu hiyo December 28 umetangaza maamuzi mapya baada ya awali kutangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu. Yanga wamefikia maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo huyo, baada ya kukaa na kufikiria kwa […]
The post Baada ya kumsimamisha kwa muda usiojulikana, Dec 28 Yanga yatangaza maamuzi magumu kwa Niyonzima … appeared first on...
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Katibu Mkuu Kiongozi amsimamisha kazi ndugu Maswi kupisha uchunguzi!
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi kwa muda Ndugu Eliakim Maswi (pichani), Katibu Mkuu ya Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake, kama ilivyoelekezwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Balozi Sefue amemsimamisha kazi Ndugu Maswi kuanzia leo, Jumanne, Desemba 23, 2014, kwa kutumia madaraka aliyonayo kama Mamlaka ya Nidhamu kwa Watumishi wa Umma wanaoteuliwa na Rais, wakiwemo...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Nyambui amsimamisha kazi mfanyakazi wake
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, amesema kukosekana kwa katiba katika Shirikisho hilo sio sababu ya wanamichezo kufanya vibaya katika mashindano ya Kitaifa na Kimataifa. Akizungumza...
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Lulu Afuata Nyayo za Wema, Ahamasisha Matumizi Bora ya Mitandao ya Kijamii
Staa mrembo kutoka Bongo movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ mwenye followers zaidi ya laki nne kwenye mtandao wa Instagram amewataka vijana kutumia mitandao ya kijamii kujengana zaidi ikiwa ni siku chake baada ya staa mwenzake, Wema Sepetu kuwataka wanawake na jamii kwa ujumla kutumia mitando hiyo kuhamasishana kwenye vitu vya kimaendeleo zaidi.
“Nikiwa kama kijana mpenda maendeleo,mwenye ndoto na malengo ya kufika mbali najua mawazo yangu pekeyangu yanaweza yasitoshe mimi kufika...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LFae3M8UZ4/VnqsUHBdCnI/AAAAAAAION4/gu7-ykrKjEo/s72-c/IMG_0724.jpg)
WAZIRI WA AFYA AMSIMAMISHA KAZI KAIMU MKURUGENZI WA TAASISI YA OCEAN ROAD DK.DIWAN MSEMO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LFae3M8UZ4/VnqsUHBdCnI/AAAAAAAION4/gu7-ykrKjEo/s640/IMG_0724.jpg)
Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu.
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWAZIRI wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk.Diwani Msemo ili kupisha uchunguzi pamoja na mambo mengine ili kubaini mgongano wa kimaslahi ulioathiri utendaji wa taasisi hiyo chini ya kaimu mkurugenzi huyo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO ATANGULIZA MSAMAHA WAKATI AKIMIMINIA SIFA RAIS DKT.JOHN MAGUFULI KWA UTENDAJI KAZI WAKE
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ameomba msamaha ili kutoa ushuhuda ushuhuda wake kuhusu Rais Dk.John Magufuli ambapo amesema Baba huyu(Dk.Magufuli) ni kiongozi mwenye maono na uwezo mkubwa.
Aidha, ana kipaji cha hali ya juu cha kufanya yasiyowezekana na ni kiongozi ambaye anafahamu vema kuwa ili nchi ifanikiwe kuleta mabadiliko chanya ni lazima kuvunja kabisa...
11 years ago
Bongo521 Jul
Tudd Thomas afuata nyayo za Dr. Dre, kuingiza sokoni headphone zake ‘TTP’