Mkenya ala shavu kuhusika kwenye series maarufu ya Marekani, The Blacklist
Muigizaji wa Kenya, Edi Gathegi, amekula shavu la kuigiza kwenye msimu wa tatu wa series ya kimarekani, The Blacklist. Gathegi alizaliwa Eastlands, Nairobi na kukulia California, Marekani. Amewahi kuigiza kwenye filamu kubwa kama X Men, Twilight na House. Kwenye msimu wa tatu wa series hiyo, Gathegi atakuwa upande wa maadui na atajulikana kama Mr. Solomon. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Jan
Beyoncé akanusha kuhusika kwenye filamu inayomhusu mwanamke maarufu wa Afrika Kusini enzi za ukoloni
![beyonce-flag](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/beyonce-flag-300x194.jpg)
Beyoncé amekanusha kuhusika kwa namna yoyote ile kwenye filamu ya maisha ya Saartjie ‘Sarah’ Baartman.
Mapema wiki hii, ilidaiwa kimakosa kuwa Beyoncé ataandika na kucheza kwenye filamu ya mwanamke huyo wa Afrika Kusini aliyekuwa akioneshwa hadharani na wakoloni wa Uingereza kutokana na kuwa na umbo lenye utata hasa, hasa makalio makubwa miaka ya 1800s.
“Beyoncé is in no way tied to this project,” mwakilishi wake aliiambia Billboard. “This is an important story that should be told,...
11 years ago
Bongo519 Jul
Kabi Gethaiga: Mkenya aliyeigiza filamu ya Going Bongo aliyeshika nafasi ya 2 kwenye usaili uliompa Lupita Nyong’o shavu la ’12 Years A Slave’
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Wamahanji ala shavu TFF
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Iringa (IRFA), Eliud Mvella ‘Wamahanji’ amejiunga na Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Kwa mujibu wa Ofisa Habari...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV2xfAdhocX2YiOVqbJY-m-UGchAWwsD4kl2fT3iqK8jax3N3uv50pqBFTfkp1a5ol6omqHVPHQRvwCFQ7XPJ*Jj/wasta.jpg)
WASTARA ALA SHAVU LA UBALOZI
9 years ago
GPLJB ALA SHAVU NONO LA UBALOZI
5 years ago
MichuziAY ALA SHAVU LA INFINIX NOTE 7 (BIGI MAKINI)
11 years ago
CloudsFM12 Jun
DIAMOND ALA SHAVU JINGINE COKE STUDIO
STAA wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz amepata shavu jingine kwenye kipindi cha Coke Studio, baada ya kuteuliwa kwa mara nyingine kurekodi kwenye kipindi hiko ambacho wasanii wengi wanandoto na mchongo huo ambao ukiupata licha mtonyo wanaolipwa na kampuni kubwa ya cocacola wasanii hao wanapata platform ya kuonyeshwa kwa performance zao katika vituo vya tv kibao za barani Africa pamoja na kuonekana kwenye You Tube Channel za Cocacola studio.Meneja wa Diamond,Babu Tale anafunguka kwanini shavu...