Diamond, Shaa, Nameless na STL wala shavu la TV Show
Diamond, Shaa, Nameless na STL wataonekana kwenye reality TV show inayotarajiwa kuwa gumzo Afrika Mashariki, kwa mujibu wa mtandao wa Ghafla wa Kenya. Haijafamika jina la kipindi hicho lakini kuna uwezekano kipindi hicho kikawa ni Maisha Superstar ambacho ni mashindano ya kusaka vipaji vya kuimba. Kipindi hicho kitaoneshwa kwenye kituo cha Maisha Magic. “This will […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1bPR6qUl1fTu*ZvhkWMvtR8w0jQ5bMWsLB8JnAA5rtJPm0ywFAVlpRfYNYsfVUCtHUQGOW4rZuXWWYfFnAPLjl/1EzekielKamwaga.jpg?width=650)
KAMWAGA, MUHAJI WALA SHAVU SIMBA SC
11 years ago
GPLMASTAA WA FILAMU WALA SHAVU MAJUU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
WASANII CLOUD, RIYAMA, MONALISA NA WASTARA WALA SHAVU UK
10 years ago
Bongo518 Nov
Diamond ampa shavu msanii wa ‘Barua kwa Diamond’ Meda
11 years ago
CloudsFM12 Jun
DIAMOND ALA SHAVU JINGINE COKE STUDIO
STAA wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz amepata shavu jingine kwenye kipindi cha Coke Studio, baada ya kuteuliwa kwa mara nyingine kurekodi kwenye kipindi hiko ambacho wasanii wengi wanandoto na mchongo huo ambao ukiupata licha mtonyo wanaolipwa na kampuni kubwa ya cocacola wasanii hao wanapata platform ya kuonyeshwa kwa performance zao katika vituo vya tv kibao za barani Africa pamoja na kuonekana kwenye You Tube Channel za Cocacola studio.Meneja wa Diamond,Babu Tale anafunguka kwanini shavu...
9 years ago
Bongo528 Sep
Diamond aeleza alivyolipokea shavu la Swizz Beatz
9 years ago
Bongo530 Nov
Picha: Mwana FA, Diamond, Chege, Shaa, Master J wakutana Jozi, SA
![12301323_1513422528955823_1362360374_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12301323_1513422528955823_1362360374_n-300x194.jpg)
Industry nzima ya Bongo Flava ilihamia Johannesburg, Afrika Kusini wikiendi iliyomalizika.
Mwana FA, Diamond, Chege, Julio na mshkaji wakiwa SA
Diamond, Mwana FA, Chege, Shaa, Master J, Julio walikutana jijini humo huku kila mmoja akionekana kwenda kutengeneza video yake.
Chege, Sallam, Shaa, Godfather na Julio
Kuna kila dalili kuwa Diamond ameenda kushoot video yake mpya na Godfather na huenda mastaa hao wakaonekana kwenye video hiyo.
Diamond na Chege
Shaa pia ameenda kushoot video mpya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MULTICHOICE-1.jpg)
MULTICHOICE YAJA NA DSTV BOMBA, DIAMOND ALA SHAVU