Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Mwana FA, Diamond, Chege, Shaa, Master J wakutana Jozi, SA

12301323_1513422528955823_1362360374_n

Industry nzima ya Bongo Flava ilihamia Johannesburg, Afrika Kusini wikiendi iliyomalizika.

12301323_1513422528955823_1362360374_n
Mwana FA, Diamond, Chege, Julio na mshkaji wakiwa SA

Diamond, Mwana FA, Chege, Shaa, Master J, Julio walikutana jijini humo huku kila mmoja akionekana kwenda kutengeneza video yake.

12256591_1047233935329162_413462258_n
Chege, Sallam, Shaa, Godfather na Julio

Kuna kila dalili kuwa Diamond ameenda kushoot video yake mpya na Godfather na huenda mastaa hao wakaonekana kwenye video hiyo.

12328155_911056058971702_1099985093_n
Diamond na Chege

Shaa pia ameenda kushoot video mpya...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

PICHA: JUST PICHA: MWANA DIASPORA NA MBIO ZA UBUNGE: WANAMWITA RAIS WA MBARALI

Ni Liberatus Mwang'ombe "Libe" aliye wahi kuishi Maryland, DC na Virginia (DMV) amekuwa akivunja rekodi kwenye historia za mbio za ubunge jimbo la Mbarali kwa kukusanya vijana na watu wa rika mbalimbali wengi kuliko ilivyo wahi tokea jimboni Mbarali. 


 Juu na chini: Libe katika ubora wake

 Juu na chini: George Tito aka Mbu Mwenyekiti BAVICHA mkoa wa Mbeya akimnadi Mh. Mwang'ombe




 Mh. Mwang'ombe akikabidhi kadi ya CHADEMA barabarani 
Mh. Mwang'ombe amekuwa akisimamishwa barabarani watu wakitaka...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: JUST PICHA: MATUKIO MBALIMBALI YA KAMPENI ZA MWANA DIASPORA LIBE

Ni Liberatus Mwang'ombe aka "Libe" aliye wahi kukaa DMV, USA na sasa yupo kwenye harakati za kwenda Dodoma.
Libe katika ubora wakeLibe akiingia mkutanono na ulinzi shirikishi Mafuriko ya mbunge



 Peoples'... POWER!!!















Akiwa njiani kuelekea kwenye mikutabo, Libe huongea na mtu mmoja mmoja 
Mh. Mwang'ombe  anaamini kuwa huwezi kuibadili Dodoma kwa kukaa nje ya mjengo. Ni lazima uingie Dodoma ili uweze kuibadilisha na kupitisha agenda za diaspora. Hivyo basi, anawaomba diaspora wote bila kujali...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond, Shaa, Nameless na STL wala shavu la TV Show

Diamond, Shaa, Nameless na STL wataonekana kwenye reality TV show inayotarajiwa kuwa gumzo Afrika Mashariki, kwa mujibu wa mtandao wa Ghafla wa Kenya. Haijafamika jina la kipindi hicho lakini kuna uwezekano kipindi hicho kikawa ni Maisha Superstar ambacho ni mashindano ya kusaka vipaji vya kuimba. Kipindi hicho kitaoneshwa kwenye kituo cha Maisha Magic. “This will […]

 

10 years ago

Bongo5

Navy Kenzo na Shaa waungana na Diamond kwenye ‘Africa Rox Countdown’ ya Sound City

Kundi la Navy Kenzo na Shaa wameungana na Diamond Platnumz kwenye chart za Africa Rox Countdown zinazorushwa na kituo maarufu cha runinga cha Sound City cha nchini Nigeria. Hiyo ina maanisha kuwa Tanzania ni nchi pekee yenye wasanii wengi katika chart hizo. Navy Kenzo wameingia kwenye chart hiyo inayozikutanisha nyimbo 10 zinazofanya vizuri zaidi barani […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’

h n d

Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.

h n d

Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:

Harmonize tattoo

“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mwana FA ageuka mchora hina katikati ya jiji la Nairobi!

Anatokea Tanga kule mapenzi yalikozaliwa, hivyo usishangae kama Hamis Mwinjuma aka Mwana FA akamchora msichana hina na akapendeza! Hata hivyo hiyo ni kazi aliyoifanya mara moja tu tena kwenye moja ya scene ya video ya ‘Kiboko Yangu’ anayoshoot na Ali Kiba aliyemshirikisha kwenye wimbo huo, jijini Nairobi. Binamu aka The Choir Master, amepost picha Instagram […]

 

9 years ago

Bongo5

BTS za utengenezaji wa video tofauti za Ben Pol na Mwana FA Afrika Kusini (Picha)

11925676_463374680501587_1567968702_n

Ben Pol na Mwana FA wote wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kushoot video zao.

11925676_463374680501587_1567968702_n
Ben Pol akiwa kwenye moja ya scene za video yake

Ben ameendelea kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ aliowashiriki Avril na Rossie M.

11421986_522616981241607_718948242_n
Ben Pol na Rossie M wakiwa location huku Justin Campos akiendelea na kazi yake

Muimbaji huyo amemaliza kufanya video hiyo Jumapili hii akimtumia muongozaji wa nchini humo, Justin Campos wa Gorilla Films. Avril wa Kenya hakuonekana kwenye location hizo.

11419262_1157084614313211_1074544956_n
12063219_1642635846024710_765721299_n

12230784_1720278058206242_744544065_n
Timu nzima...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ALI KIBA WAKUTANA UKUMBINI, WACHUNIANA!

Stori: Laurent Samatta na Gabriel Ngo’sha
Duh! Kama ulikuwa unaamini kuwa lile bifu la wakali wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Ali Saleh Kiba, limekwisha, basi umenoa baada ya jamaa hao kukutana ukumbini na kuchuniana. Baadhi ya wasanii wa Bongo fleva wakiwa kwenye mkutano. Ishu hiyo ilijiri kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Double Tree Hilton jijini Dar, juzikati ambapo wasanii...

 

9 years ago

Vijimambo

DEVELOPING STORY: PICHA: MWANA DIASPORA BADO AENDELEA KUWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE

Ni Liberatus Mwang'ombe ambaye amewahi kukaa Washigton D.C., ameendelea kukonga nyoyo za wana Mbarali kwa kila uchao. Kila baada ya mkutano wananchi wa Mbarali wamekuwa wakimuomba asipande gari na watembee naye umbali wa kilometer 2 hadi 3.
 "Wangapi watanipeleka Dododma? Mikono juu". Hayo yalikuwa maneno ya Mh. Mwang'ombe akiwauliza wananchi ambao wote walinyosha mikono juuBaada ya mkutano mitaa ilifungwa na wananchi kumwambia Mh. Mwang'ombe asipande gari bali atembee nao umbali wa kilometer...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani