MULTICHOICE YAJA NA DSTV BOMBA, DIAMOND ALA SHAVU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MULTICHOICE-1.jpg)
Meneja Mipango wa DStv, Baraka Shelukindo, akifafanua jinsi huduma ya Dstv Bomba inavyofanya kazi. Balozi wa DStv Bomba, Diamond Platnumz akisistiza jambo wakati akiwataka wananchi kujanjaruka na kutumia huduma za DStv na kutozihofia kama zamani kwa kuhisi ni huduma za watu wa kipato cha juu. Mapaparazi na wadau wengine wakisikiliza maelezo yaliyokuwa yakitolewa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWfvXyHOL4hNBdyAPGAHLgz4gAlnT*cR7GEGJnBkjnf1cis6OihYcfwu43i6ZemQRTdCIDUUYbtwD1cwNjaBHtQ5/1.jpg)
MULTICHOICE YAZINDUA ‘DSTV BOMBA’
11 years ago
CloudsFM12 Jun
DIAMOND ALA SHAVU JINGINE COKE STUDIO
STAA wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz amepata shavu jingine kwenye kipindi cha Coke Studio, baada ya kuteuliwa kwa mara nyingine kurekodi kwenye kipindi hiko ambacho wasanii wengi wanandoto na mchongo huo ambao ukiupata licha mtonyo wanaolipwa na kampuni kubwa ya cocacola wasanii hao wanapata platform ya kuonyeshwa kwa performance zao katika vituo vya tv kibao za barani Africa pamoja na kuonekana kwenye You Tube Channel za Cocacola studio.Meneja wa Diamond,Babu Tale anafunguka kwanini shavu...
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
MultiChoice Tanzania wamtangaza rasmi Diamond Platnumz kuwa ‘Official DSTV Brand Ambassador’
Mwanamuiki nyota nchini Tanzania, Nassib Abdul ama Diamond Platnumz akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Adndrew Chale, Modewji
[DAR ES SALAAM-TANZANIA]
KAMPUNI ya MultiChoice Tanzania mapema jana imezindua ofa kabambe za msimu wa siku kuu huku ikimtambulisha rasmi Mwanamuziki Diamond Platnumz kuwa balozi maalum wa bidhaa za kampuni hiyo ikiwemo kifurushi cha DSTV BOMBA chenye chaneli zaidi ya 65 ikiwemo huduma ya vituo kadhaa vya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV2xfAdhocX2YiOVqbJY-m-UGchAWwsD4kl2fT3iqK8jax3N3uv50pqBFTfkp1a5ol6omqHVPHQRvwCFQ7XPJ*Jj/wasta.jpg)
WASTARA ALA SHAVU LA UBALOZI
9 years ago
GPLJB ALA SHAVU NONO LA UBALOZI
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Wamahanji ala shavu TFF
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Iringa (IRFA), Eliud Mvella ‘Wamahanji’ amejiunga na Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Kwa mujibu wa Ofisa Habari...
5 years ago
MichuziAY ALA SHAVU LA INFINIX NOTE 7 (BIGI MAKINI)