Video: Models 10 wa video za muziki Tanzania waliofanya vizuri/wanaovutia zaidi 2014/2015
Kwa miaka mingi wanawake wamekuwa wakitumika zaidi kupendezesha video za muziki duniani. Kazi hiyo imewawezesha baadhi ya video queens kuwa mastaa kwa kazi hiyo tu. Hii ni orodha yetu ya warembo 10 waliofanya vizuri zaidi kwenye video za wasanii wa Tanzania kwa mwaka 2014/2015. 1. Maggie Vampire – Wanawake wa Dar – Wakazi Kwa wahudhuriaji […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
Kwanini wasanii wetu siku hizi wanawatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania? — Jacqueline Wolper
![wolper](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/wolper-300x194.jpg)
Mwigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kushare na followers wake wa Instagram kitu ambacho kimekuwa kikimsikitisha, kuona wasanii wa bongo wakiwatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania na kuwaacha wa hapa.
Hiki ndicho alichoandika Wolper;
“Jamani wapenzi wangu naombeni niwaulize ktu kimoja …kuna madada zetu wengi hapa Tanzania na wakaka wengi wazuri nawakivaa au kuvalishwa wanapendeza ila Tatizo uwezo tuu…lengo la haya maneno ni kuuliza na muwatag pia hawa wanaofanya...
10 years ago
Bongo524 Nov
Wasanii wa filamu 10 waliofanya vizuri mwaka 2014
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Pinda atoa tuzo kwawaajiri waliofanya vizuri 2014
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabaka (kulia kwake) wakiwa pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya simu ya VODACOM ambayo iliiibuka mshindi wa jumla katika hafla ya kutoa tuzo kwa waajiri waliofanya vizuri kwa mwaka 2014 iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam Desemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabaka (kulia kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5PrLRxDgyDk/Vof_MQ-zIXI/AAAAAAAA74A/fL_GLfDyk7g/s72-c/Navy-Kenzo.jpg)
Kundi la Muziki la Navy Kenzo Lashika Namba Nne Katika Video 50 Zilizobamba Zaidi MTV Base Mwaka 2015, Wampita Diamond Platnumz
![](http://2.bp.blogspot.com/-5PrLRxDgyDk/Vof_MQ-zIXI/AAAAAAAA74A/fL_GLfDyk7g/s640/Navy-Kenzo.jpg)
Diamond Platnumz na Wimbo wake wa Nana umeshika namba 5 Katika Chat hizo, Wimbo huo wa Nana Pia Umetengenezwa na Producer Nahreel Kitu kinachomfanya Aendelee kuwa Producer Bora zaidi Kuwahi kutokea Tanzania na East Africa kwa...
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Huyu ndio Mtanzania aliyeongoza orodha ya Models 10 bora wa Afrika wanaofanya Vizuri zaidi Duniani.
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL8f2zQaQlYfCFWZxq2O8PmYl7hLTM9iDIcria*R5I1f7MrktV6gOo0h1EVzLMO2Sq2TV5Kk26s2OA-NvHC-eDy3/heriethPaulgapspring2014campaignFABMagazine.png)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL*Zu*8sPSZJHnvWihvBLElVzw8OmCXBDxQoQVrc-mbur41xuVkvDMkPuRmdJ5nrUSSHS34YWKrzo8kkEDRrJbF9/20130708122359_00013.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL9xeZfpbl1oPHB-pLVChJas7mhKDiPT8EWolpBOblN5e3loYOSajG6KAEkxH40EMKcJAetXM3hBwAgF5YVD37Gw/HariethPaulBettyAdewoleSebastianKimTeenVogue06.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL9bzWucX4WFHkH0ioIjGdhPAsNigI0oGwlmNwDbvCj4iEuLHHqUuDIPYH8kS6sto-R9U22Rppyt8y65YrBHvTja/24664500w.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL-nuP-gArGnZ5yMwsmxyEdZMJaCwOg8E9IW5y7Rt8F1t-5UiefToXM8KS3*Lmkbv2rWy5QXO-TDr6wKkqUipBoj/TO2WAugust13LegionValerioUmaliDuardo24700x912.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL*Gdb40GdQptGxUU27iFTIlqRIooNaLpW*635X1yzquOr0luuJqF4ZR9-c0n3IluNmC-bAfRLjlAvb38w31G7D2/MalaikaFirth1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL9o5LfqesAsI8arbZfZMsNgH8b1sCPwdRQudPGlLZKisZqMcybTwe-KAVYX-9Wv4BH7z5cspcJkKrQDiWkQohVU/IMANEditorLiyaFeature600x400.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/candice-swanepoel-hot-vs-sport-pics-part2-5.jpg?width=600)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/Fatima-Siad_001.jpg?width=600)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/3105.jpg?width=600)
10 years ago
Bongo521 Jan
Herieth Paul (Tanzania) aongoza orodha ya models 10 wa Afrika wanaofanya vizuri duniani
9 years ago
Bongo514 Nov
Ommy Dimpoz atoa sababu za wasanii wa Tanzania kutumia models wa nje kwenye video zao
![Ommy na model wa ndagushima](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ommy-na-model-wa-ndagushima-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz ni kati ya wasanii wa Bongo ambao wameshoot video zao kadhaa nje ya Tanzania kwa kutumia waongozaji pamoja na video models wa nje.
Ommy Dimpoz na model wa ‘Ndagushima’ Sofia Skvortsova
Wengi wanaamini upo uwezekano wa wasanii kuamua kusafiri na models kutoka nyumbani kama ambavyo husafiri na dancers wao kwenda kushoot video nje, lakini Ommy Dimpoz ana sababu za kwanini hushindwa kufanya hivyo.
“Mara nyingi models wa nje wako proffesional wanaweza kucheza character zote ambazo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t29_JKUpVCQ/VokYRlMhAdI/AAAAAAAIQEE/PyLa2saPTk8/s72-c/d9ebc67c-9dd6-4fe9-8867-b3599b9926f3.jpg)
Navy Kenzo katika Chat ya Video 50 Bora za MTV Base Africa Zilizofanya Vizuri mwaka 2015..
![](http://1.bp.blogspot.com/-t29_JKUpVCQ/VokYRlMhAdI/AAAAAAAIQEE/PyLa2saPTk8/s400/d9ebc67c-9dd6-4fe9-8867-b3599b9926f3.jpg)
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Wasanii wanaovutia zaidi wanawake wawapo jukwaani
NA RHOBI CHACHA
MUME wa mwigizaji mashuhuri duniani, Angelina Jolie, Brad Pitt, mwanamuziki anayeendelea kutamba na wimbo wa ‘Happy’, Pharrell William, Justine Beiber na wengine wengi waliwahi kutangazwa kuwa ndio wasanii wenye mvuto zaidi kwa wanawake nchini Marekani.
Hata hapa Tanzania makampuni mengi yamewahi kuendesha mashindano ya kushindanisha mvuto wa wasanii kwa namna tofauti, lakini sisi tumefanya uchunguzi kwa baadhi ya wasanii wa kiume wenye mvuto mkubwa kwa mashabiki wa kike...