Serena Williums akerwa kuitwa ”kaka’.
Bingwa wa mchezo wa tenisi kwa upande wa akina dada duniani Serena Williams amekosoa matamshi aliyoyataja kuwa ya kibaguzi na kutojali ujinsia yaliotolewa na rais wa shirikisho la Tenisi nchini Urusi Shamil Tarpischev dhidi yake na dadaake Venus Williams.
Katika mazungumzo yake Tarpischev aliwaita kina dada hao wawili kama ”kaka wawili” .
Hatahivyo afisa huyo alipigwa faini ya pauni 15,500 na kupigwa marufuku ya mwaka moja kwa kutoa matamshi hayo aliyoyataja kama ya mzaha.
”Nadhani...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Bingwa wa tenisi akerwa kuitwa ''kaka'.
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Kawambwa akerwa daraja la tano kuitwa sifuri
11 years ago
Habarileo15 Dec
Zitto akerwa kuitwa mwongo, ‘kulipuka’ bungeni
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, amesema anatarajia kuwasilisha maelezo binafsi kuhusu, kauli ya Mwanasheria Mkuu aliyoitoa juzi bungeni dhidi yake na kumuita muongo kuhusu suala la kuwa na orodha ya watu wanaodaiwa kuficha fedha nje ya nchi.
10 years ago
Michuzi27 Aug
9 years ago
Habarileo29 Oct
Busungu ajipongeza kuitwa Stars
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Malimi Busungu amesema juhudi zake ndizo zilizofanikisha kutimia kwa ndoto zake za siku nyingi za kuitwa kuichezea timu ya taifa, Taifa Stars.
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Shamsa Achukia Kuitwa Mshamba
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Shamsa Ford amewabwatukia baadhi ya watu ambao wanapenda kumsema kuwa yeye ni mshamba kwa kushindwa kutoka misele nyakati za usiku.
Akizungumza na mwandishi wa GPL, Shamsa alisema anawashangaa watu hao kumsema na kumjadili kwa watu wengine kuwa yeye ni mshamba kitu ambacho hakipendi kwani kila mtu ana aina yake ya maisha aliyoyachagua kuishi.
“Mimi sijawahi kumsumbua mtu hela ya kula hata siku moja kisa tu eti sijichanganyi na wanawake wa mjini, mimi familia...
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Lowassa: Nimechoka kuitwa fisadi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeB69c1QEnjyecp-85YeiWWDf4OdreSlOlD-VarJ*i23PppSdiVqvie4jEhOTJGiwFOxA7uucelp3OvBWxUIOyAm/HEMED.jpg?width=650)
HEMED ACHUKIA KUITWA TOZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8VtnT8DnL2B50R8xgKDQe-qKD7n6lhEJnVyrp6jNhZ8ymJJsvjpFzUClIEL6wMyyZ5zDUoYnVTquWXvdrFyLhrN/Tiko.jpg?width=650)
TIKO AKATAA KUITWA GOGO