Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi yajeruhi, yapora mamilioni

MFANYABIASHARA wa kubadilisha fedha, Alphonce Mwanjela (36) amejeruhiwa kwa risasi kisha kuporwa kiasi kikubwa cha fedha na watu wanaodhaniwa ni majambazi. Mwanjela anayeendesha shughuli zake katika eneo la mpaka wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Majambazi yapora wafanyabiashara

Watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha  za moto wamewavamia wafanyabiashara kwenye Kijiji cha Vikonge wilayani Mpanda na kuwapora fedha na mali zao.

 

9 years ago

Mtanzania

Majambazi yapora kininja Sinza

Pg 2 majambaziNa Waandishi Wetu

WATU wanaodaiwa kuwa ni majambazi  wakiwa wameficha nyuso zao huku wakiwa wamebeba silaha kali mkononi  jana walilisimamisha eneo la Sinza Kijiweni, jijini Dar es Salaam kwa takribani nusu saa baada ya kuvamia  gari lililokuwa limebeba pombe aina ya Banana na kupora Sh milioni 34.

Tukio hilo ambalo liliambatana na milio  ya risasi takribani sita zilizopigwa hewani lilitokea saa 5:30 mchana katika makutano ya barabara ya Shekilango na Tandale, Sinza Kijiweni.

Watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi yaua, yapora fedha

NI kama sinema vile iliyochezwa na majambazi mawili katika mji wa Geita. Majambazi hayo, juzi yaliuteka mji wa Geita kwa takribani dakika 15 kwa mtutu wa bunduki na kupora fedha...

 

11 years ago

TheCitizen

Majambazi yaua, yapora Singida

Watu wawili wamefariki dunia mkoani Singida katika matukio tofauti, likiwemo la mzee mwenye umri wa miaka 65 kuuawa na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi ambao pia walipora Sh1,340,000.

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi yafunga barabara, yapora

KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za jadi, juzi usiku walifunga barabara ya Mbeya – Njombe.

 

10 years ago

Vijimambo

Majambazi yapora Sh15 mil


Dar es Salaam. Matukio ya ujambazi yanaendelea kutikisa Jiji la Dar es Salaam baada ya watu wanaoaminika kuwa majambazi kumjeruhi kwa kumpiga risasi mkazi wa Kibaha, Nyalinga Steven (pichani) na kumpora kiasi cha Sh15 milioni jana.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa Steven alipigwa risasi sehemu ya ubavuni katika eneo la Magomeni Mikumi.Akisimulia tukio hilo, Camillius alisema Steven alikuwa akitoka Manzese na alipofika Magomeni Mikumi, alipigwa risasi...

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yaua, yapora Dar, Tunduru

Dar/Songea. Tafrani ilizuka Dar es Salaam na mjini Tunduru, mkoani Ruvuma, baada ya majambazi kuua mtu mmoja na kupora zaidi ya Sh10 milioni katika matukio mawili tofauti.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yapora Sh1 bil Stanbic

Watu 13 wakiwamo wafanyakazi tisa wa Benki ya Stanbic jijini hapa wanashikiliwa na polisi baada ya majambazi kuiba fedha zaidi ya Sh1 bilioni jana jioni.

 

9 years ago

Mwananchi

Majambazi yapora Sh70 milioni Dar

Watu wanne wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha wamevamia gari ndogo aina ya Toyota Saloon na kupora fedha zinazokadiriwa kufikia Sh70 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani