Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya ekari 10 za mihadarati zateketezwa Rindini Same

Zaidi ya ekari 10 zilizokuwa zimestawi dawa za kulevya aina ya Mirungi zimeteketezwa katika kijiji cha Rindini wilayani Same mkoani Kilimanjaro kwenye operesheni maalumu iliyofanywa na kamati ya ulinzi na usalama mkoani humo ikiongozwa na  mkuu wa mkoa  huo Amos Makalla.

Operasheni hiyo imelenga kudhibiti biashara haramu ya Mihadarati ambayo imezidi kushamiri katika maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro ambapo zaidi ya ekari 260 za mimea hiyo zinatarajiwa kuteketezwa kwa kipindi cha wiki mbili...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bidhaa za mabilioni zateketezwa nchini

Tume ya Ushindani Tanzania (TCC) imeteketeza bidhaa zenye thamani ya Sh4.2 bilioni ambazo ziliingizwa nchini zikiwa na upungufu na kukosa ubora.

 

11 years ago

Habarileo

Zana haramu za uvuvi zateketezwa

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.

 

10 years ago

Habarileo

Simu feki za mamilioni zateketezwa Mwanza

TUME ya Ushindani imefanya operesheni na kukamata bidhaa za bandia, zikiwemo simu za mkononi 327 aina ya Samsung na nyembe aina ya Gillete, zote zikiwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 200 kisha kuviteketeza jijini hapa.

 

10 years ago

Habarileo

Tani 200,000 za silaha zateketezwa

 Katibu Mkuu wa EAC, Richard SeziberaTANI 200,000 za silaha haramu zilizokuwa zimezagaa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) zimeteketezwa.

 

11 years ago

Habarileo

Katoni 117 za pombe za viroba zateketezwa

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Rachel KassandaMWENGE wa Uhuru umeteketeza katoni 117 za pombe za viroba, zilizopigwa marufuku kuuzwa na kutumiwa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Watu saba wauawa, nyumba 20 zateketezwa

WATU saba wameuawa na nyumba zaidi ya 20 kuchomwa moto katika vurugu zilizodaiwa kuanzishwa na wananchi katika Kijiji cha Murufiti, Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, chanzo chake kikiwa imani za ushirikina. Habari zilizopatikana kutoka wilayani Kasulu na baadaye kuthibitishwa na Polisi, zinasema vurugu hizo zilitokea juzi usiku na watu waliouawa, walikuwa wakituhumiwa kujihusisha na ushirikina.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zana za uvuvi haramu za mamilioni zateketezwa Sengerema

DSC03469

Katibu Tawala Wilaya Sengerema Bw. Focus Majumbi, (katikati) akishudia nyavu haramu kabla ya kuchomwa.  Wa kwanza kushoto ni Afisa elimu msngi Wilaya Sengema Juma Mwajombe na Kulia ni Afisa uvuvi shupavu Bw. Henry Kaswahili.

Na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema

Zana haramu za kuvulia Samaki zinazokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni mia mbili na laki tani zimekamatwa na kuteketezwa na Afisa uvuvi tarafa ya Buchosa Wilayani Sengerema  Mkoani Mwanza Bw.Henry Kaswahili.

Kwa mujibu wa...

 

9 years ago

Vijimambo

DAWA ZA KULEVYA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR

Sehemu ya Dawa za kulevya zilizoteketezwa jana katika Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam uku zikisimamiwa na majaji wa mahakama Kuu, jeshi la Polisi pamoja na mamlaka ya kudhibiti Dawa za kulevya hapa nchini Sehemu ya Kinu cha Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam  ambako dawa za kulevya zimeteketezwa jana chini ya uangalizi mkali . Akizungumza  na waandishi wa habari mara baada ya kuzichoma moto katika kinu hicho Jaji  wa Mahakama Kuu Edison...

 

9 years ago

Michuzi

DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR


 Sehemu ya Kinu cha Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam  ambako dawa za kulevya zimeteketezwa jana chini ya uangalizi mkali . Akizungumza  na waandishi wa habari mara baada ya kuzichoma moto katika kinu hicho Jaji  wa Mahakama Kuu Edison Mkasimongwa alizitaja aina ya dawa hizo kuwa  ni Heroine mifuko 179 na Cocaine mifuko 81 zenye thamani ya Shilingi Bilioni tano ambapo  zilikuwa na Gram 175,000 ambazo zilikamatwa miaka kadhaa Mbezi Jogoo jijini Dar.Jaji wa Mahakama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani