Milioni 40 zachangwa kwa ujenzi wa maabara ya sekondari
Mwenyekiti wa klabu ya Gymkhana Dioniz Malinzi akipiga mpira wakati wa ufunguzi wa mchezo wa gofu kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa maktaba na vifaa vya kompyuta vya Shule ya Sekondari ya Mtakuja.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza mchezo wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MILIONI 40 ZACHANGISHWA KWA UJENZI WA MAABARA YA SHULE YA SEKONDARI

Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza...
10 years ago
MichuziTPDC YACHANGIA UJENZI WA MAABARA KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA MTWARA VIJIJINI
11 years ago
Michuzi11 Jul
WAZIRI NYALANDU AMWAGA MSAADA WA MILIONI 10 WA MABATI 420 SHULE ZA SEKONDARI KWA AJILI YA MAABARA

Na Hillary Shoo, SINGIDA.Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini Mkoani Singida, Lazaro Nyalandu ametoa mchango wa mabati 420 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 kwa shule mbili za sekondari za Kata za Mtinko na Kinyeto.Mchango huo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi wa Jimbo hilo kuchangia katika ujenzi wa maabara mbalimbali kwenye shule za sekondari za Jimbo...
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
ALAF yatoa msaada wa mabati kwa ajili ya ujenzi wa maabara za shule za sekondari wilaya ya Mbeya
Meneja wa Kampuni ya ALAF Tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya kabla ya kumkabidhi msaada wa mabati 384 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King, akitoa shukrani kwa kampuni ya ALAF kwa kujitolea mabati kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari za Wilaya ya Mbeya.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King na Meneja wa ALAF tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege...
11 years ago
Michuzi
WAZIRI CHIKAWE AMKABIDHI MKUU WA WILAYA NACHINGWEA MABATI 2000 KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA SHULE ZA SEKONDARI


10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABATI YA ALAF YATOA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA MBEYA
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Ujenzi maabara za Sekondari ni ishara mbaya ya uongozi
SI mara ya kwanza kwako wewe msomaji kusikia kwamba Tanzania kuna ombwe la uongozi. Imesemwa sana na watu wa kada na nyakati tofauti kwa mambo yanavyokwenda katika taifa letu si...
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Benki ya CBA yakabidhi hundi ya shilingi milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ya wasichana shule ya Sekondari Kifaru Mwanga
Meneja masoko wa benki ya CBA Tanzania, Solomon Kawishe (kushoto), Meneja masoko Moshi Eliud Marko (katikati) wakimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Kifaru, Abdallah Mwomboke iliyopo katika kijiji cha Kituri kata ya Kileo wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro hundi ya shilingi Milioni tano yenye thamani ya zaidi ya mifuko 300 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Hosteli ya wasichana katika shule hiyo, msaada huo ni sehemu ya kamapeni ya Book by Book inayoendeshwa na benki ya CBA...