Wanaotuhumiwa kumuua Dk Mvungi wabanwa
WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Edmund Mvungi wamesomewa mashitaka yao upya na baadhi yao kudai hawana imani na Mkuu wa Gereza la Segerea.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Dec
Wanaotuhumiwa mauaji ya Mvungi waleta kizaazaa
WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Edmund Mvungi, jana waligoma kutoka katika chumba cha mahakama na kukaa kizimbani kwa muda hadi watakapoelezwa jalada la kesi yao lipo wapi.
11 years ago
Habarileo09 Jul
Wanaotuhumiwa kumuua sista wadaiwa kupora benki
WATUHUMIWA wanaodaiwa kumuua Sista Cresencia Kapuli na kumpora Sh milioni 20, jana wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki ya Barclays.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61mtUTz9nD1KEnSjyJcN5-XP71nTWmkMQWKBqdImnp28FrxBbHG1U*YlvRqtMCB9ylOJUvJcMylsToEEssBdg52/flora.jpg)
FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA
11 years ago
Habarileo21 Jan
Mawaziri wanaotuhumiwa watetewa
BAADHI ya wasomi wamepongeza uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete, kuendelea kufanya kazi na mawaziri waliokuwa wakituhumiwa kwa upungufu wa kiutendaji serikalini. Mmoja wa wasomi hao, Dk Kitila Mkumbo, alimpongeza Rais kuendelea na mawaziri hao kwani Serikali haiendeshwi kwa kauli za wanasiasa.
11 years ago
Habarileo11 Feb
4 wanaotuhumiwa kuua kiongozi CCM waachiwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma imeachia huru washitakiwa wanne kati ya tisa, wanaoshitakiwa kumuua kiongozi wa CCM. Wameachiwa baada ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) kuwaondolea mashitaka. Watu hao ni Frank Stanley, Philipo Edward, Tito Kishangara na Paulo Nashokigwa.
9 years ago
Habarileo09 Sep
Wachezaji wa kigeni wabanwa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema mchezaji yeyote wa kigeni ambaye hatalipiwa Dola za Marekani 2000 (takriban Sh milioni 4.2) hatacheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi.
9 years ago
Habarileo30 Dec
Mafunzo wabanwa na KMKM
TIMU za Maafande wa Chuo cha Mafunzo na wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM ), zimetoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja uliochezwa Uwanja wa Amani mjini hapa.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mawaziri wabanwa bungeni
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Polisi yakamata watu 38 wanaotuhumiwa kwa ujambazi, ugaidi