Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


4 wanaotuhumiwa kuua kiongozi CCM waachiwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma imeachia huru washitakiwa wanne kati ya tisa, wanaoshitakiwa kumuua kiongozi wa CCM. Wameachiwa baada ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) kuwaondolea mashitaka. Watu hao ni Frank Stanley, Philipo Edward, Tito Kishangara na Paulo Nashokigwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM imedhamiria kuua elimu nchini?

UAMUZI wa Rais Jakaya Kikwete kumwacha Dk. Shukuru Kawambwa kuendelea kuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ni tafsiri tosha kwamba serikali hii chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM haina ubavu wa kuua upinzani

KILA nikisikiliza hotuba anazozitoa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, katika mikutano yake anayoifanya mikoani, ninapata shaka na mwelekeo wa chama chao. Inawezekana amedhamiria kukifufua chama kilichoanza...

 

9 years ago

Mtanzania

Kiongozi CCM atibuana na mgombea Chadema

Benson-KigailaNA DEBORA SANJA, DODOMA

KATIBU wa Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dodoma, Rashid Morama, juzi alizua hali ya kutoelewana kati yake na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benson Kigaila.

Tukio hilo lilitokea juzi katika kituo cha kupigia kura mjini Dodoma, baada ya Morama kuingia kituoni hapo akiwa na waangalizi wawili wa uchaguzi kutoka nje ya nchi.

Kabla ya hali hiyo kutokea, Kigaila aliingia kituoni hapo...

 

11 years ago

GPL

KIONGOZI CCM AUAWA KWA SHOKA!

Stori: Haruni Sanchawa na Gabriel Ng’osha
KIONGOZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Shina Namba 30, Kigamboni Kisiwani jijini Dar, Bernadetha Shabani (53) amefariki dunia baada ya kupigwa shoka la kichwa na anayedaiwa kuwa ni mpangaji wake aliyefahamika kwa jina la Shija Ng’waya (33). Bernadetha Shabani enzi za uhai wake. Tukio hilo la kikatili lilijiri Mei 5, mwaka huu nyumbani kwa marehemu, Kigamboni jijini Dar es...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Hakuna kiongozi msafi CCM

CHAMA cha Demorasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimesema wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliondoa kipengele cha uadilifu kwenye tunu za taifa kwa sababu walijua watakosa viongozi kwani hakuna aliye msafi....

 

11 years ago

Habarileo

Mawaziri wanaotuhumiwa watetewa

BAADHI ya wasomi wamepongeza uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete, kuendelea kufanya kazi na mawaziri waliokuwa wakituhumiwa kwa upungufu wa kiutendaji serikalini. Mmoja wa wasomi hao, Dk Kitila Mkumbo, alimpongeza Rais kuendelea na mawaziri hao kwani Serikali haiendeshwi kwa kauli za wanasiasa.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaotuhumiwa kumuua Dk Mvungi wabanwa

WASHITAKIWA wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Edmund Mvungi wamesomewa mashitaka yao upya na baadhi yao kudai hawana imani na Mkuu wa Gereza la Segerea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani