Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM haina ubavu wa kuua upinzani

KILA nikisikiliza hotuba anazozitoa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, katika mikutano yake anayoifanya mikoani, ninapata shaka na mwelekeo wa chama chao. Inawezekana amedhamiria kukifufua chama kilichoanza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Siri za kuua upinzani zaanikwa

HOFU ya kung’oka madarakani iliyojengeka kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wasiokuwa waadilifu imeelezwa kuwa sababu ya kudhoofisha vyama vya upinzani nchini. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA CCM APUKUTISHA UPINZANI LINDI, 61 WAJUNGA NA CCM WAMO VIONGOZI

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgombea mwenza CCM aupukutisha upinzani Lindi, 61 wajiunga CCM, wamo viongozi

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu. Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu. Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa...

 

9 years ago

Michuzi

Mgombea Mwenza CCM Mama Samia Suluhu Hassan apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi

.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM pamoja na wananchi viwanja vya Mnazi Mmoja.

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mtanzania

Dk. Shein: CCM haina mbadala Zanzibar

Dr.-Ali-Mohamed-SheinNa Arodia Peter, Zanzibar

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema chama hicho hakina mbadala wa uongozi, hivyo wananchi wanao wajibu wa kukirudisha madarakani.

Alisema hilo linatokana na uimara wa CCM tangu ilipopata uhuru mwaka 1964 na kuwapo ilani madhubuti zinazowavutia wananchi kila baada ya miaka mitano ya uongozi.

Dk. Shein aliyasema hayo juzi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Bungi, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘CCM haina nia ya kutunga katiba ya wananchi’

MRATIBU wa Mtandao wa kufuatilia madeni ya Serikali (CDD), Hebron Mwakagenda, amewashambulia wabunge na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa wanakusudia kutunga Katiba ya Chama Cha Mapinduzi...

 

10 years ago

GPL

DKT NCHIMBI ASEMA CCM HAINA TATIZO LA KIMUUNDO WALA MFUMO

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sherehe za Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Songea, Dk. Emmanuel Nchimbi akizungumza katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM, yaliyofanyika kitaifa juzi kwenye Uwanja wa Majimaji mjini Songea, Mkoani Ruvuma. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.… ...

 

11 years ago

Habarileo

4 wanaotuhumiwa kuua kiongozi CCM waachiwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma imeachia huru washitakiwa wanne kati ya tisa, wanaoshitakiwa kumuua kiongozi wa CCM. Wameachiwa baada ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) kuwaondolea mashitaka. Watu hao ni Frank Stanley, Philipo Edward, Tito Kishangara na Paulo Nashokigwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani