Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘CCM haina nia ya kutunga katiba ya wananchi’

MRATIBU wa Mtandao wa kufuatilia madeni ya Serikali (CDD), Hebron Mwakagenda, amewashambulia wabunge na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa wanakusudia kutunga Katiba ya Chama Cha Mapinduzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali haina nia ya dhati katiba mpya

HIVI sasa taifa liko kwenye hofu ya kushindwa kupata katiba mpya, baada ya mchakato wake kuingia dosari kutokana na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge. Kitendo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali haina nia ya dhati na ‘Wamachinga’

MAMLAKA za miji nchini zimekuwa katika harakati za kusafisha miji, majiji na mitaa mbalimbali kwa lengo la kuboresha mandhari ya maeneo husika yaweze kuendana na hadhi zao. Waathirika wakubwa wa...

 

10 years ago

GPL

WAISLAM WASEMA SERIKALI HAINA NIA KUUNDA MAHAKAMA YA KADHI

Baadhi ya viongozi wa jumuiaza Kiislam kutoka kushoto ni Rajabu Katimba, Imamu Juma Ramahani na Ramadhani Lwambo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe: Hatuwezi kutunga Katiba bila Ukawa

Siku chache baada ya wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuondoka bungeni, wajumbe waliobakia wameambiwa wasijidanganye kuwa wanaweza kutengeneza Katiba bila kuhusisha pande zote.

 

5 years ago

Michuzi

RC NDIKILO – CORONA HAINA MZAHA ,WANANCHI WAJILINDE NA KUCHUKUA TAHADHALI






****************************
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,amewaasa wananchi kuacha mzaha na kupuuzia kufuata elimu inayotolewa na wataalamu wa afya kujikinga na ugonjwa wa Corona huku akiwahimiza kuendelea kuchukua tahadhari . 
Aidha amewahimiza kutumia kuvaa Barakoa wanapokwenda katika Ofisi mbali mbali za Umma na Binafsi ikiwemo Ofisi yake, kwenye Daladala, Bodaboda na maeneo ya Biashara ikiwemo Sokoni, Ndikilo alisema tayari Mkoa una wagonjwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja ya kuikataa Katiba inayopendekezwa haina Mashiko

Kwa muda mrefu kumekuwa na  hoja kwamba, Bunge Maalumu la Katiba lilikiuka mamlaka yake kisheria na kufanya kinyume cha matakwa ya sheria ya mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zitto Kabwe asema ACT Wazalendo haina hata chembe ya ufisadi, yawataka wananchi kukichagua

ZITO

Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Peoples Club Mjini Singida.

MGHWIRA

Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia ACT, Anna Mghwira.

MKUU MSAFARA

Mratibu wa ziara za viongozi wa ACT nchini Karama Kaila.

MKITI

Mwenyekiti wa ACT Mkoa wa Singida.

KATIBU

Katibu wa ACT Wazalendo Mkoa wa Singida akizungumza kwenye mkutano huo.

BABA

Zitto Kabwe akisalimiana na baba mzazi wa Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini Mzee Mghwira.

WANANCHI

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Shein: CCM haina mbadala Zanzibar

Dr.-Ali-Mohamed-SheinNa Arodia Peter, Zanzibar

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema chama hicho hakina mbadala wa uongozi, hivyo wananchi wanao wajibu wa kukirudisha madarakani.

Alisema hilo linatokana na uimara wa CCM tangu ilipopata uhuru mwaka 1964 na kuwapo ilani madhubuti zinazowavutia wananchi kila baada ya miaka mitano ya uongozi.

Dk. Shein aliyasema hayo juzi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Bungi, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani