‘CCM haina nia ya kutunga katiba ya wananchi’
MRATIBU wa Mtandao wa kufuatilia madeni ya Serikali (CDD), Hebron Mwakagenda, amewashambulia wabunge na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa wanakusudia kutunga Katiba ya Chama Cha Mapinduzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Serikali haina nia ya dhati katiba mpya
HIVI sasa taifa liko kwenye hofu ya kushindwa kupata katiba mpya, baada ya mchakato wake kuingia dosari kutokana na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge. Kitendo...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Serikali haina nia ya dhati na ‘Wamachinga’
MAMLAKA za miji nchini zimekuwa katika harakati za kusafisha miji, majiji na mitaa mbalimbali kwa lengo la kuboresha mandhari ya maeneo husika yaweze kuendana na hadhi zao. Waathirika wakubwa wa...
10 years ago
GPLWAISLAM WASEMA SERIKALI HAINA NIA KUUNDA MAHAKAMA YA KADHI
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Mjumbe: Hatuwezi kutunga Katiba bila Ukawa
5 years ago
Michuzi
RC NDIKILO – CORONA HAINA MZAHA ,WANANCHI WAJILINDE NA KUCHUKUA TAHADHALI


****************************
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,amewaasa wananchi kuacha mzaha na kupuuzia kufuata elimu inayotolewa na wataalamu wa afya kujikinga na ugonjwa wa Corona huku akiwahimiza kuendelea kuchukua tahadhari .
Aidha amewahimiza kutumia kuvaa Barakoa wanapokwenda katika Ofisi mbali mbali za Umma na Binafsi ikiwemo Ofisi yake, kwenye Daladala, Bodaboda na maeneo ya Biashara ikiwemo Sokoni, Ndikilo alisema tayari Mkoa una wagonjwa...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Hoja ya kuikataa Katiba inayopendekezwa haina Mashiko
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Zitto Kabwe asema ACT Wazalendo haina hata chembe ya ufisadi, yawataka wananchi kukichagua
Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Peoples Club Mjini Singida.
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia ACT, Anna Mghwira.
Mratibu wa ziara za viongozi wa ACT nchini Karama Kaila.
Mwenyekiti wa ACT Mkoa wa Singida.
Katibu wa ACT Wazalendo Mkoa wa Singida akizungumza kwenye mkutano huo.
Zitto Kabwe akisalimiana na baba mzazi wa Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini Mzee Mghwira.
10 years ago
Mtanzania23 Sep
Dk. Shein: CCM haina mbadala Zanzibar
Na Arodia Peter, Zanzibar
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema chama hicho hakina mbadala wa uongozi, hivyo wananchi wanao wajibu wa kukirudisha madarakani.
Alisema hilo linatokana na uimara wa CCM tangu ilipopata uhuru mwaka 1964 na kuwapo ilani madhubuti zinazowavutia wananchi kila baada ya miaka mitano ya uongozi.
Dk. Shein aliyasema hayo juzi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Bungi, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10