Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunisia yaomboleza mauaji ya wanajeshi

Tunisia imesema wanajeshi wake 14 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika shambulizi la wanamgambo karibu na mpaka na Algeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan yaomboleza mauaji ya watoto

Raia nchini Pakistan wanaadhimisha siku tatu za maombolezo kuwakumbuka zaidi ya watu 140 waliouwawa.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAOMBOLEZA NA WAFARANSA KUFUATIA MAUAJI YALIYOTOKEA HIVI KARIBUNI

Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa,Balozi Tuvako Manongi akibadilishana mawazo na Mabalozi wenzie muda mfupi kabla ya kusaini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa, kufuatia tukio la jumatano ambapo watu kumi na mbili wakiwamo waandishi wa gazeti la Charlie Hebdo walipoteza maisha Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 7 wauawa Tunisia

Mwanajeshi mmoja nchini Tunisia amempigwa risasi na kuuawa baada ya kuwaua wenzake 7 .

 

9 years ago

BBCSwahili

Syria yasema mauaji ya wanajeshi ni uchokozi

Serikali ya Syria imesema shambulio lililotekelezwa mashariki mwa nchi hiyo na kusababisha vifo vya wanajeshi wake watatu ni uchokozi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanajeshi mahakamani kwa mauaji ya raia Mbeya

Wanajeshi wanne wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wa Kikosi cha 44KJ, Mbalizi mkoani hapa wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya Petro Sanga, mkazi wa Mbalizi, juzi walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya Mbeya Mjini na kusomewa maelezo ya mashahidi 13 pamoja na vielelezo sita dhidi yao.

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAOMBOLEZA NA WAFARANSA

Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akiandika salamu za rambirambi kufuatia tukio linaloelezwa kuwa la kigaidi ambapo watu kumi na mbili wakiwamo waandishi wa gazeti la Charlie Hebdo waliuawa.
Balozi Tuvako Manongi akibadilishana mawazo na Mabalozi wenzie muda mfupi kabla ya kusaini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa, kufuatia tukio la jumatano ambapo watu kumi na mbili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malaysia yaomboleza abiria wa MH17

Miili ya abiria 20 walioangamia katika mkasa wa ndege ya Malaysia ya MH17 imewasili Kual Lumpur

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaomboleza vifo takriban 95

Maelfu ya Watu wamekusanyika mjini Ankara nchini Uturuki kuomboleza kwa ajili ya Watu takriban 95 waliouawa kwa mabomu

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaomboleza shambulizi la Garissa

kufuatia shambulizi la chuo kikuu cha Garissa,makanisa yote nchini Kenya yatajitolea kuwaombea waathiriwa wa tukio hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani