Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtuhumiwa Masasi atishia kujipaka kinyesi mahakamani

MMOJA wa mahabusu wanaokabiliwa na kesi za maandamano yasiyo na kibali, uporaji, kuchoma nyumba na kuharibu mali yaliyofanyika Januari 26, 2013 mjini Masasi, Araibu Mohamed, ametishia kutorejea mahabusu endapo kesi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mfugaji atishia kumburuza mahakamani diwani

MFUGAJI na mkulima wa Kijiji cha Ufana, Kata ya Mgungira, Tarafa ya Sepuka, wilayani hapa mkoani Singida, Sawaka Kujelwa, ametishia kuwafungulia mashtaka mahakamani viongozi wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkazi wa Ngara ashambuliwa kwa kinyesi akitoka mahakamani

DSC04584

Mkazi  wa Kata ya Ngara mjini wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera, Bw, Philimoni Bunziya akimwelezea mwandishi wa habari hizi jinsi alivyomwagiwa chupa yenye kinyesi na mtuhumiwa wakati akitoka Mahakamani katika maeneo hayo.

DSC04588

Na Daniel Makaka, Ngara

 MKAZI mmoja wa Kata ya Ngara mjini wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera, Bw. Philimoni Bunziya alijikuta akishambuliwa na chupa iliyokuwa na kinyesi karibu na nyumbani kwake alipokuwa akitoka mahakamani.

 Tukio hilo limetokea Machi 28 mwaka huu majira ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Askari amtetea mtuhumiwa mahakamani

KESI ya kughushi inayomkabili mfanyabiashara, Hans Macha imechukua sura mpya baada ya askari polisi E.2982 Johanes Mgendi kutoa ushahidi upande wa mtuhumiwa kwenye kesi hiyo. Mgendi ambaye ni mtaalamu wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtuhumiwa azua kihoja mahakamani Rwanda

Mushukiwa wa mauaji ya kimbari amekataa kesi yake kusikilizwa akisema kwamba hana haki zilizo sawa na mwendesha mashitaka.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa?

Tokea atangeze kujiondoa ccm na kujiunga chama cha democrasia na maendeleo( Chadema)Mh Edward Luwassa ,imekua kasakamwa na wanafiki wa chama tawala na kulikuza swala la richmon mama vile yeye ni mtuhumiwa pekee ndani ya ccm alokua […]

The post Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi alishwa kinyesi

MWANAFUNZI wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Nyakabale wilayani hapa (jina limehifadhiwa), ameamrishwa kula kinyesi chake baada ya kukutwa akijisaidia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi mkoani...

 

10 years ago

Habarileo

Mnyika atishia kushtaki

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemtaka Waziri Mkuu ambaye ni Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utaokafanyika Desemba mwaka huu, kufanya marekebisho ya kanuni za uchaguzi kwa kuwa zina upungufu mwingi, la sivyo atafungua kesi mahakamani kupinga kanuni hizo.

 

10 years ago

Habarileo

RC atishia kukwamisha bajeti

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa MulongoMKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ametishia kutopitisha bajeti ya halmashauri ya wilaya ya Magu, iwapo kijiji cha Kahangara hakitakuwemo kwenye bajeti ya kuvutiwa maji ya bomba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Basi linalotumia kinyesi lazinduliwa

Basi la kwanza nchini Uingereza linalotumia kinyesi na uchafu unaotokana na chakula limeanza safari yake ya kwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani