Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Basi linalotumia kinyesi lazinduliwa

Basi la kwanza nchini Uingereza linalotumia kinyesi na uchafu unaotokana na chakula limeanza safari yake ya kwanza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Jukwaa la waekezaji TZ, lazinduliwa

Soko la hisa la Dar Es Salaam Tanzania limezindua jukwaa linalowakutanisha wafanyabiashara na wawekezaji pamoja

 

9 years ago

Habarileo

Duka la dawa Muhimbili lazinduliwa

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando amezindua duka la dawa la Bohari Kuu ya Dawa (MSD) lililofunguliwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kutekeleza agizo la Rais John Magufuli.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Habarileo

Lazinduliwa jengo la wazazi, zahanati

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif RashidSERIKALI imezindua jengo la wazazi, zahanati, nyumba ya watumishi wa afya na gari la kubebea wagonjwa katika wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, vyote vikiwa vimegharimu Sh bilioni 1.2.

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Bagamoyo Marathon lazinduliwa

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Elisante ole Gabriel (kushoto) akishikana mikono na Mkurugrenzi wa Kampuni ya 4Beli, Gilbert Herman baada ya kuzindua  Tamasha la Kihistoria la Bagamoyo Wilayani  Bagamoyo, Pwani .  Anayeangalia ni,  Katibu Tawala  wa Wilaya ya Bagamoyo, John Mhali. Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo, John Mhali alizungumza katika hafla ya uzinduzi  wa Tamasha la Kihistoria la Bagamoyo iliyofanyika Bagamoyo, Mkoani Pwani .  Wengine...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi alishwa kinyesi

MWANAFUNZI wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Nyakabale wilayani hapa (jina limehifadhiwa), ameamrishwa kula kinyesi chake baada ya kukutwa akijisaidia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

Tamasha la 33 la Sanaa lazinduliwa kwa kishindo

 Mgeni rasmi ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Makongoro Nyerere (kushoto) akifuatilia maonyesho mbalimbali yaliyokua yakiendelea wakati wa uzinduzi wa Tamasha la 33 la Sanaa lililofanyika katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) jana, katikati ni Mtendaji mkuu TaSUBa Bw. Michael J. Kadinde na kulia ni Mkurugenzi Maendeleo ya Utamaduni Prof. Hermas Mwansoko. Mgeni rasmi ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Makongoro Nyerere kati akipiga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani