Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa?
The post Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Sep
Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa?
Tokea atangeze kujiondoa ccm na kujiunga chama cha democrasia na maendeleo( Chadema)Mh Edward Luwassa ,imekua kasakamwa na wanafiki wa chama tawala na kulikuza swala la richmon mama vile yeye ni mtuhumiwa pekee ndani ya ccm alokua […]
The post Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-wqSV5zmrDQ/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Oct
Jee hii ndio amani ya Taifa aitakayo Mh Jk na ccm yake?
Gari la mabox ya kura fake lakamatwa Njombe Wananchi wa Njombe wachachamaa kuingiziwa kura fake,Jeshi la Polisi lawashambulia kwa mabomu ya machozi , jee kosa lao nini? Ccm wazitick kura kabla ya kupiga kesho Vitimbi vya […]
The post Jee hii ndio amani ya Taifa aitakayo Mh Jk na ccm yake? appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
John Bolton: Katika kitabu chake mshauri huyo wa zamani wa Trump anasema kwamba kiongozi huyo 'aliuliza iwapo Finland ni sehemu ya Urusi'?'
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
CCM: chama cha mafisadi
UFISADI umeenea nchi nzima! Kwa kila wizara, idara, wakala na taasisi za serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuna ufisadi kwa jinsi yake. Pale tunapotaja ufisadi kwa CCM na...
9 years ago
Raia Tanzania28 Aug
Magufuli: Mafisadi wamenikimbia CCM
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kutokana na usafi wake, wanachama wa chama hicho wasio wasafi walipoona ameteuliwa kugombea nafasi hiyo, wamehama chama hicho kwa hofu ya kushughulikiwa.
Alisema kutokana na yeye kutokutumia fedha katika mchakato wa kuwania kuteuliwa na CCM, kwa kuhonga au kutoa rushwa, baadhi ya watu ndani ya CCM wamekimbia.
"Watu waliotoa pesa walipoona nimechaguliwa waliamua kuondoka wenyewe," alisema.
Akizungumza kwa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar31 Aug
Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ?
Ccm ni miaka 51(nusu karne) imeshika madaraka na bado Wtz waakawaida ni maskini na Serekali inayo ongozwa na Ccm 80% inaomba budget yake ya kila mwaka kwa misada ya kigeni. Jee kweli Makufuli 1 ambaye kila […]
The post Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Kufichua mafisadi salama ya CCM- Abdulrahman Kinana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/S3fB1lsSZak/default.jpg)
MAGUFULI KAMA AKICHAGULIWA KUPAMBANA NA MAFISADI NDANI YA CCM
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema mafisadi wamo hadi ndani ya chama chake na ndiyo maana baada ya kuteuliwa kuwa mgombea urais wengi wao wameanza kuweweseka kutokana na hofu kubwa waliyo nayo dhidi yake.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika mikutano ya kampeni ya chama chake mjini Kisarawe, Pwani na baadaye Ukonga, jijini Dar es Salaam jana, Magufuli alikiri kuwa chama chake kiliwalea walarushwa na mafisadi kwa muda mrefu na ndiyo maana baadhi ya watu...