Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa?

The post Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa?

Tokea atangeze kujiondoa ccm na kujiunga chama cha democrasia na maendeleo( Chadema)Mh Edward Luwassa ,imekua kasakamwa na wanafiki wa chama tawala na kulikuza swala la richmon mama vile yeye ni mtuhumiwa pekee ndani ya ccm alokua […]

The post Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Jee hii ndio amani ya Taifa aitakayo Mh Jk na ccm yake?

Gari la mabox ya kura fake lakamatwa Njombe Wananchi wa Njombe wachachamaa kuingiziwa kura fake,Jeshi la Polisi lawashambulia kwa mabomu ya machozi , jee kosa lao nini? Ccm wazitick kura kabla ya kupiga kesho Vitimbi vya […]

The post Jee hii ndio amani ya Taifa aitakayo Mh Jk na ccm yake? appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

BBCSwahili

John Bolton: Katika kitabu chake mshauri huyo wa zamani wa Trump anasema kwamba kiongozi huyo 'aliuliza iwapo Finland ni sehemu ya Urusi'?'

Urais wa Donald Trump tayari umeweka orodha ndefu ya vitabu, lakini kitabu cha hivi karibuni cha aliyekuwa mshauri wa usalama kitaifa , John Bolton kimevutia watu wengi, na hii ni kutokana na wadhifa aliokuwa nao mwandishi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM: chama cha mafisadi

UFISADI umeenea nchi nzima! Kwa kila wizara, idara, wakala na taasisi za serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuna ufisadi kwa jinsi yake. Pale tunapotaja ufisadi kwa CCM na...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Magufuli: Mafisadi wamenikimbia CCM

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kutokana na usafi wake, wanachama wa chama hicho wasio wasafi walipoona ameteuliwa kugombea nafasi hiyo, wamehama chama hicho kwa hofu ya kushughulikiwa.

Alisema kutokana na yeye kutokutumia fedha katika mchakato wa kuwania kuteuliwa na CCM, kwa kuhonga au kutoa rushwa, baadhi ya watu ndani ya CCM wamekimbia.

"Watu waliotoa pesa walipoona nimechaguliwa waliamua kuondoka wenyewe," alisema.

Akizungumza kwa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ?

Ccm ni miaka 51(nusu karne) imeshika madaraka na bado Wtz waakawaida ni maskini na Serekali inayo ongozwa na Ccm 80% inaomba budget yake ya kila mwaka kwa misada ya kigeni. Jee kweli Makufuli 1 ambaye kila […]

The post Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Kufichua mafisadi salama ya CCM- Abdulrahman Kinana

>Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema kitu kitakachokiokoa chama hicho ni wanachama kutowafumbia macho wezi na mafisadi akisisitiza kuwa kulindana na upole kutakiangamiza chama hicho kikongwe.

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI KAMA AKICHAGULIWA KUPAMBANA NA MAFISADI NDANI YA CCM


Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema mafisadi wamo hadi ndani ya chama chake na ndiyo maana baada ya kuteuliwa kuwa mgombea urais wengi wao wameanza kuweweseka kutokana na hofu kubwa waliyo nayo dhidi yake.

Akizungumza kwa nyakati tofauti katika mikutano ya kampeni ya chama chake mjini Kisarawe, Pwani na baadaye Ukonga, jijini Dar es Salaam jana, Magufuli alikiri kuwa chama chake kiliwalea walarushwa na mafisadi kwa muda mrefu na ndiyo maana baadhi ya watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani