Jee hii ndio amani ya Taifa aitakayo Mh Jk na ccm yake?
Gari la mabox ya kura fake lakamatwa Njombe Wananchi wa Njombe wachachamaa kuingiziwa kura fake,Jeshi la Polisi lawashambulia kwa mabomu ya machozi , jee kosa lao nini? Ccm wazitick kura kabla ya kupiga kesho Vitimbi vya […]
The post Jee hii ndio amani ya Taifa aitakayo Mh Jk na ccm yake? appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar31 Aug
Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ?
Ccm ni miaka 51(nusu karne) imeshika madaraka na bado Wtz waakawaida ni maskini na Serekali inayo ongozwa na Ccm 80% inaomba budget yake ya kila mwaka kwa misada ya kigeni. Jee kweli Makufuli 1 ambaye kila […]
The post Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rK-NDid3rmY/VXB3IUvsUwI/AAAAAAAAvIU/qGqyD16Bo8M/s72-c/necc.jpg)
Hii Ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM, itakayopitisha Majina Matano ya Wagombea Urais
![](http://4.bp.blogspot.com/-rK-NDid3rmY/VXB3IUvsUwI/AAAAAAAAvIU/qGqyD16Bo8M/s640/necc.jpg)
Hii ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM itakayopitisha majina matano ya wagombea uraisi kwa ajili ya kupigiwa kura na NEC kupata mgombea mmoja.1. Jakaya Mrisho Kikwete
2. Dr. Ally Mohamed Shein
3. Phillip Japhet Mangula
4. Abdulrahman Kinana
6. Dr. Mohamed Ghalib Bilal
7. Mizengo Kayanza Peter Pinda8. Balozi Seif Ali Iddi
9. Anna Semamba Makinda
10. Pandu Amir Kificho
11. Rajab Luhwavi
12. Vuai Ali Vuai
13. Nape Moses Nnauye
14. Mohammed Seif Khatibu
15. Zakhia Hamdan Meghji
16. Asha Rose Migiro
17. Sophia...
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …
Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo, Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]
The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar11 Oct
Mpaka hivi sasa tume ya Taifa NEC imeshindwa kuweka Daftari la Wapiga kura hadharani, Jee UKAWA wamejipanga vipi?
Huku kukiwa na wasiwasi mkubwa kwa Vyama vya Upinzani kuhusu Daftari la wapiga kura kutokuwekwa hadharani ili vyama vya siasa kupata nafasi ya kulipitia, Vyama vilivyo ungana UKAWA wamekuwa na shaka kubwa kuwa Tume ya Taifa […]
The post Mpaka hivi sasa tume ya Taifa NEC imeshindwa kuweka Daftari la Wapiga kura hadharani, Jee UKAWA wamejipanga vipi? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Aug
Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa?
The post Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-89v46_GotgA/VLe33cMcc3I/AAAAAAACxjY/OW3nEE-vRiw/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE LEO WILAYA YA AMANI MKOA WA MJINI MAGHARIBI
![](http://2.bp.blogspot.com/-89v46_GotgA/VLe33cMcc3I/AAAAAAACxjY/OW3nEE-vRiw/s1600/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-czGotUYmpZ8/VLe313wy-QI/AAAAAAACxjQ/r1n_COcOFHc/s1600/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d_KX1b4ZAJk/VLd6sMGZQzI/AAAAAAACxik/8-BhHABcNVE/s1600/8.jpg)