HUYO NDIYO MENGI AKUTIRIRISHIA MAJINA YA PAPA NA MAFISADI
![](http://img.youtube.com/vi/-wqSV5zmrDQ/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Aug
Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa?
The post Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo01 Dec
HUYO NDIYO DIAMOND SUKARI YA WAREMBO EAST AFRICA
![](http://api.ning.com/files/Ov90wJC7zCy0oZuinErVnlNnUrNUBuLU5JAtml7-wK7YcDuq4lnOe8jbIvOMdvZyVYOj0Bi1Aw6Uy29HrlG6g-bmZf2r7J17/10544208_1497387980549692_2053801274_n.jpg?width=650)
Chanzo makini kilicho karibu na Diamond, kimeeleza kuwa msanii huyo na mama’ke, katikati ya wiki iliyopita, walikwea ‘pipa’ kwenda nchini humo kwa ajili ya mapumziko mafupi kabla ya kuhudhuria ‘event’ ya utoaji Tuzo za Channel O (Choamva) ambazo msanii huyo ameshiriki.
![](http://api.ning.com/files/Ov90wJC7zCx7o9tHPoRllf0N2chU2tTNVbL7T3t*Ujb0lLwlbKjGCmVOfe5lPekHdVb*dkEhFKiUvwPXLZsbwPu0kUXGZWAE/10544208_1497387980549692_2053801274_n1.jpg?width=650)
Kwenye tuzo hizo, Diamond...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYpu-88N1RM/VYPm7MD7SdI/AAAAAAABQXs/OLmpnhkMFWs/s72-c/WASIRA.jpg)
SINA MAJINA YA MAFISADI, INGAWA UOVU HUU UMO NDANI YA VYAMA VYA SIASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYpu-88N1RM/VYPm7MD7SdI/AAAAAAABQXs/OLmpnhkMFWs/s640/WASIRA.jpg)
Wasira anayeongozwa na kauli mbiu ya Uadilifu na Umoja wa Watanzania; Safari ya Uhakika, alisema hayo wakati akizungumza na wana-CCM waliomdhamini katika mikoa ya Rukwa na Katavi jana.
Alisema CCM na serikali yake ni taasisi zilizo na misingi ya uadilifu, ingawa ndani yake...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mengi: Tajeni wala rushwa kwa majina
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
John Bolton: Katika kitabu chake mshauri huyo wa zamani wa Trump anasema kwamba kiongozi huyo 'aliuliza iwapo Finland ni sehemu ya Urusi'?'
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Z63RZNAEtAI/default.jpg)
BAADA YA KIKAO KWISHA USIKU WA MANANE HAYA NDIYO MAJINA YANAYOTAZAMIWA KUTANGAZWA KESHO.
INASEMEKANA HAWA NDIYO WANAOPEWA NAFASI KUBWA YA KUINGIA KWENYE TANO BORA HABARI RASMI KUTOLEWA ASUBUHI.
![](https://external-lga1-1.xx.fbcdn.net/safe_image.php?d=AQB-x5-Lh5Vm4mek&w=470&h=246&url=http%3A%2F%2Fmillardayo.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F07%2FCCM-II.jpg&cfs=1&upscale=1&sx=0&sy=144&sw=428&sh=224&l)
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Haya ndiyo majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani 2015
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetaja majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015.
Majina hayo matatu (3) yamepatikana kutoka kwa majina 23 aliyokuwa yamependekezwa awali. Majina hayo ni;
Cristiano Ronaldo (Ureno – Real Madrid)
Lionel Messi (Argentina – Barcelona)
Neymar da Silva Santos (Brazil – Barcelona)
Kwa upande wa wanawake FIFA imewataja;
Carli Lloyd (Houston Dash -USA)
Aya Miyama (Okayama Yunogo Belle –...
10 years ago
Bongo Movies16 May
JB: Chungu cha Tatu Itajibu Maswali Mengi, Wema Ndiyo Mhusika Mkuu
Staa wa Bongo Movies ambaye ndiyo mmiliki na mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu, Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’ amewadokeza wadau wa filamu kupitia ukurasa wake mtandaoni kuwa filamu ya ‘Tatu Chafu’ amabayo wanairekodi kwasasa itajibu maswali mengi ukizingatia kuwa mhusika mkuu kwenye filamu hiyo ni staa Wema Sepetu ambaya kila mmoja anakujua drama za staa huyu.
Wadau wa jerusalem film...bado tunaendelea na utengenezaji wa filam ya chungu cha tatu...lakini kwa...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
SPORT NEWS: Haya ndiyo majina matano ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika ya BBC 2015
Na Rabi Hume
Shirika la Utangazaji la Wingereza limetangaza majina matano (5) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2015.
Katika orodha hiyo pia yupo mchezaji aliyetwa tuzo hiyo msimu uliopita, Yacine Brahimi anayekipiga katika katika klabu ya Porto inayoshiriki ligi kuu ya Ureno na timu ya Taifa ya Algeria.
Majina kamili ya wachezaji hao;
1. Pierre – Emerick Aubameyang (Gabon, Borussia Dortmund)
2. Andre Ayew (Ghana, Swansea)
3. Sadio Mane (Senegal,...