Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Habre alazimishwa kwenda mahakamani

Maafisa wa polisi wamelazimika kutumia nguvu kumuingiza na kumdhibiti kiongozi wa zamani wa Chad Hissene Habre katika mahakama ya Dakar Senegal

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Habre azua kihoja mahakamani

Maafisa wa polisi wamelazimika kutumia nguvu kumuingiza na kumdhibiti kiongozi wa zamani wa Chad Hissene Habre katika mahakama ya Dakar Senegal

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sikinde: Hatuna mpango wa kwenda mahakamani

UONGOZI wa Bendi ya Mlimani Park ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’, umesema hauna mpango wa kwenda mahakamani kumshitaki wakala aliyewachukua baadhi ya wanamuziki wao na kwenda kufanya nao ziara nchini Ujerumani...

 

11 years ago

KwanzaJamii

KENYATTA ASHURUTISHWA KWENDA MAHAKAMANI THE HAGUE

Majaji wa mahakama ya jinai ya ICC wameamua kuwa rais wa Kenya hana budi ila kufika mahakamani binafsi Oktoba tarehe 8. Majaji hao wamekatalia mbali ombi la mawakali wa rais Uhuru Kenyatta la kutaka aruhusiwe kuhudhuria kikao hicho kupitia kwa njia ya Video ama kikao hicho cha ana kwa ana kiahirishwe hadi siku nyingine kwani alikuwa amekabwa na kazi na majukumu kama rais wa Kenya. Majaji hao wanasema kuwa Rais Uhuru Kenyatta hakutoa sababu madhubuti ya kukosa kuhudhuria kikao hicho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge: Mtikila ruksa kwenda mahakamani

BAADA ya mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia kundi la vyama vya siasa, Mchungaji Christopher Mtikila, kutishia kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa kuzuia vikao vya Bunge hilo, ameambiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Sheikh Ponda agoma kwenda mahakamani, abembelezwa

Kiongozi wa Taasisi ya Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, jana aligoma kufikishwa mahakamani kutoka mahabusu ya Gereza la Mkoa wa Morogoro, akidai kuchoshwa kuhairishwa kwa kesi yake kila anapofikishwa mahakamani.

 

10 years ago

StarTV

Kafulila kwenda mahakamani kuyapinga matokeo ya Ubunge

Aliyekuwa Mgombea ubunge Jimbo la Kigoma Kusini Kupitia Chama cha NCCR Mageuzi David Kafulila amesema anakusudia kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliompa Ushindi Mbunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Husna Mwilima kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Octoba 25, mwaka huu.

Kafulila amesema amefikia hatua hiyo kwa lengo la kutafuta haki yake baada ya kutoridhishwa na matokeo ya kushindwa na kwamba matokeo yaliyotangazwa katika nafasi hiyo Jimboni kwake ni tofauti na yale aliyonayo...

 

10 years ago

GPL

MGOMBEA UBUNGE KINONDONI ACT-WAZALENDO KWENDA MAHAKAMANI

Aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia Chama Cha ACT Wazalendo jimbo la Kinondoni, Kalama Masoud 'Kalapina' (kulia) akizungumza na wanahabari, kushoto kwake ni Afisa Habari wa ACT Wazelendo, Khamis Abdallah. Kalapina akionesha msisitizo wa jambo wakati akiongea na wanahabari (hawapo…

 

10 years ago

StarTV

  CUF kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi Tabora mjini.

Chama cha Wananchi CUF Mkoa wa Tabora kimeazimia kufungua kesi mahakamani mapema wiki hii kupinga matokeo ya ubunge dhidi ya mgombea wa CCM aliyetangazwa kuwa mshindi wa Jimbo la Tabora Mjini.

Kauli hiyo imetolewa kutokana na kile kilichodaiwa kuwa mgombea wa CUF alipata kura nyingi zaidi ya mgombea wa Chama cha Mapinduzi.

 Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia CUF chini ya mwamvuli wa UKAWA, Peter Mkufya akisisitiza kwenda mahakamani kwa kile kinachodaiwa kuporwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Aliyefunga alazimishwa kula India

Wabunge nchini India wamezozana baada ya mfanyakazi aliyekua kwenye mfungo kushurutishwa kula

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani