Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


uasi Dominic Ongwen afikishwa Hague

Ongwen Kulia akiamkuana na kamanda mkuu wa kikosi cha Afrika kinamsaka mkuu wa kundi la LRA Jopseh Kony
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.

Ongwen, alikuwa kamanda mwenye kuogopewa sana katika kundi la waasi la LRA na alikamatwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mapema mwezi huu.

Uganda ilikubali kwamba muasi huyo apelekwe katika mahakama ya kimataifa ya ICC, licha ya nchi hio kuwa mkosoaji...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Muasi Dominic Ongwen afikishwa Hague

Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muasi Dominic Ongwen ajisalimisha

Dominic Ongwen, mmoja kati ya makamanda aliyekuwa na cheo kikubwa katika jeshi la waasi wa Uganda LRA amejisalimisha

 

10 years ago

TheCitizen

Dominic Ongwen off to ICC for trial

>The indicted senior Lord’s Resistance Army (LRA) commander, Maj Gen Dominic Ongwen, who surrendered early this month, was yesterday handed over to the International Criminal Court (ICC) for trial on war crimes and crimes against humanity.

 

10 years ago

BBC

Profile: Dominic Ongwen of Uganda's LRA

Schoolboy abductee who wrought havoc as rebel commander

 

10 years ago

BBCSwahili

Dominic Ongwen wa LRA akabidhiwa kwa ICC

Afisa muandamizi wa LRA aliyejisalimisha Jamhuri ya Afrika ya Kati akabidhiwa kwa Mahakama ya JInai ya KImataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Ongwen afikishwa katika mahakama ya ICC

Dominic Ongwen, amekuwa mwanachama wa kwanza wa kundi la LRA, kufika mbele ya mahakama ya kimataifa ya ICC.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK afikishwa The Hague

KITUO cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB) kimemshitaki Rais Jakaya Kikwete kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), mjini The Hague, Uholanzi kwa madai ya kutoa kauli zenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uasi CHADEMA

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kimenasa mkakati mzito uliolenga kuwarubuni viongozi wa wilaya wa chama hicho wafanye uasi bila...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache Serikali ifanye uasi?

MJADALA kuhusu uandikaji wa Katiba mpya umekuwa kama mgonjwa mahututi anayehitaji uangalizi maalumu. Mgonjwa mahututi asipoangaliwa vizuri anaweza kufa lakini akaacha madhara makubwa kwa wanaomhudumia. Tumesikia mengi katika mjadala wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani