uasi Dominic Ongwen afikishwa Hague
Ongwen Kulia akiamkuana na kamanda mkuu wa kikosi cha Afrika kinamsaka mkuu wa kundi la LRA Jopseh Kony
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.
Ongwen, alikuwa kamanda mwenye kuogopewa sana katika kundi la waasi la LRA na alikamatwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mapema mwezi huu.
Uganda ilikubali kwamba muasi huyo apelekwe katika mahakama ya kimataifa ya ICC, licha ya nchi hio kuwa mkosoaji...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Muasi Dominic Ongwen afikishwa Hague
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Muasi Dominic Ongwen ajisalimisha
10 years ago
TheCitizen19 Jan
Dominic Ongwen off to ICC for trial
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80114000/jpg/_80114647_44979734.jpg)
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Dominic Ongwen wa LRA akabidhiwa kwa ICC
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Ongwen afikishwa katika mahakama ya ICC
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
JK afikishwa The Hague
KITUO cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB) kimemshitaki Rais Jakaya Kikwete kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), mjini The Hague, Uholanzi kwa madai ya kutoa kauli zenye...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Uasi CHADEMA
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kimenasa mkakati mzito uliolenga kuwarubuni viongozi wa wilaya wa chama hicho wafanye uasi bila...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Tuache Serikali ifanye uasi?
MJADALA kuhusu uandikaji wa Katiba mpya umekuwa kama mgonjwa mahututi anayehitaji uangalizi maalumu. Mgonjwa mahututi asipoangaliwa vizuri anaweza kufa lakini akaacha madhara makubwa kwa wanaomhudumia. Tumesikia mengi katika mjadala wa...