Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuache Serikali ifanye uasi?

MJADALA kuhusu uandikaji wa Katiba mpya umekuwa kama mgonjwa mahututi anayehitaji uangalizi maalumu. Mgonjwa mahututi asipoangaliwa vizuri anaweza kufa lakini akaacha madhara makubwa kwa wanaomhudumia. Tumesikia mengi katika mjadala wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali ifanye uamuzi mgumu, ibane matumizi

Taarifa kwamba bajeti ya Serikali kwa mwaka unaomalizika, yaani 2013/14 ina upungufu wa Sh1.8 trilioni ni za kushtua na kunahitajika uamuzi mgumu kama tunataka tusonge mbele.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uasi CHADEMA

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kimenasa mkakati mzito uliolenga kuwarubuni viongozi wa wilaya wa chama hicho wafanye uasi bila...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ifanye ndoa yako kuwa ya thamani

HABARI msomaji wa safu ya Urafiki na Mahusiano inayokujia kila Jumamosi. Matumaini yangu umzima. Nami nakukaribisha ili tuweze kwenda sambamba katika suala la maisha ya ndoa. Kila ndoa ina muda...

 

10 years ago

Vijimambo

uasi Dominic Ongwen afikishwa Hague

Ongwen Kulia akiamkuana na kamanda mkuu wa kikosi cha Afrika kinamsaka mkuu wa kundi la LRA Jopseh Kony
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.

Ongwen, alikuwa kamanda mwenye kuogopewa sana katika kundi la waasi la LRA na alikamatwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mapema mwezi huu.

Uganda ilikubali kwamba muasi huyo apelekwe katika mahakama ya kimataifa ya ICC, licha ya nchi hio kuwa mkosoaji...

 

10 years ago

Habarileo

Mwandishi TSN atajwa kuzima uasi

SIRI ya mashujaa waliozima jaribio la kutaka kupindua Serikali ya Tanzania chini ya Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1982, imewekwa hadharani kwamba mashujaa hao walikuwa vijana wawili; mmoja dereva wa teksi na mwingine mwandishi wa habari wa gazeti la Serikali la Daily News. Daily News ni moja ya magazeti yanayochapishwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali ya TSN, mengine yakiwa HABARILEO, HABARILEO Jumapili, Sunday News na SpotiLEO.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Tumedhamiria kusambaratisha uasi DRC

 Rais Jakaya Kikwete amesisitiza kuwa Tanzania inayo nia ya dhati ya kukabiliana na vikundi vya uasi vinavyo vuruga amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto albino akatwa kiganja, jamii ifanye nini?

Ni masikitiko makubwa kwamba mtoto mwenye ulemavu wa ngozi katika Kijiji cha Kipeta, Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa amejeruhiwa na watu wasiojulikana baada ya kukatwa kiganja cha mkono wa kulia. 

 

11 years ago

Tanzania Daima

RIEK MACHAR: Kutoka Makamu Rais hadi uasi

SUDAN Kusini ni miongoni mwa nchi kadhaa ambazo zimegeuka na kuwa pasua kichwa barani Afrika kutokana na kugeuzwa kuwa uwanja wa mapambano kila uchao. Nchi hiyo imekuwa ikizifanya Jumuiya za...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunategemeana, tuache vita

Dunia sasa imegeuka kijiji, utandawazi ndiyo sera inayoendesha ulimwengu. Soko huria ndilo linalotamba dunia nzima kuanzia Marekani, Uingereza, Tanzania mpaka China na kote duniani, kila mtu anapigania kuwa na mtandao wa marafiki, na marafiki wengi wa biashara, wengi wanapigania kujifunza tamaduni za wengine kwa kasi ili waweze kudumu katika hii dunia maana ndiyo sera inavyosema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani