Mwandishi TSN atajwa kuzima uasi
SIRI ya mashujaa waliozima jaribio la kutaka kupindua Serikali ya Tanzania chini ya Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1982, imewekwa hadharani kwamba mashujaa hao walikuwa vijana wawili; mmoja dereva wa teksi na mwingine mwandishi wa habari wa gazeti la Serikali la Daily News. Daily News ni moja ya magazeti yanayochapishwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali ya TSN, mengine yakiwa HABARILEO, HABARILEO Jumapili, Sunday News na SpotiLEO.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Uasi CHADEMA
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kimenasa mkakati mzito uliolenga kuwarubuni viongozi wa wilaya wa chama hicho wafanye uasi bila...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Tuache Serikali ifanye uasi?
MJADALA kuhusu uandikaji wa Katiba mpya umekuwa kama mgonjwa mahututi anayehitaji uangalizi maalumu. Mgonjwa mahututi asipoangaliwa vizuri anaweza kufa lakini akaacha madhara makubwa kwa wanaomhudumia. Tumesikia mengi katika mjadala wa...
10 years ago
Vijimambo21 Jan
uasi Dominic Ongwen afikishwa Hague
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/17/150117031256_car_ongwen_lra_icc_624x351_reuters.jpg)
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.
Ongwen, alikuwa kamanda mwenye kuogopewa sana katika kundi la waasi la LRA na alikamatwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mapema mwezi huu.
Uganda ilikubali kwamba muasi huyo apelekwe katika mahakama ya kimataifa ya ICC, licha ya nchi hio kuwa mkosoaji...
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Kikwete: Tumedhamiria kusambaratisha uasi DRC
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
RIEK MACHAR: Kutoka Makamu Rais hadi uasi
SUDAN Kusini ni miongoni mwa nchi kadhaa ambazo zimegeuka na kuwa pasua kichwa barani Afrika kutokana na kugeuzwa kuwa uwanja wa mapambano kila uchao. Nchi hiyo imekuwa ikizifanya Jumuiya za...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
TCRA kuzima analojia Tabora
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), leo inatarajia kuzima mitambo ya kurusha matangazo ya televisheni ya mfumo wa utangazaji wa analojia mkoani hapa. Akizungumza kwenye warsha iliyohusisha wadau katika Hoteli ya...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
‘Uchafu ulisababisha kivuko kuzima’
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Kashfa ya Escrow, Jk kuzima au kuchochea moto
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
FREDY AZZAH na SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
IKIWA leo ni siku ya 23, tangu Novemba 29,mwaka huu Bunge lilipopitisha maazimio nane juu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete anatazamiwa kuuzima ama kuchochea moto wa sakata hilo atakapozungumza na wazee wa Jiji la Dar es Saalam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, Rais Kikwete leo atazungumza na wazee hao katika...
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Libya yaomba msaada kuzima moto