Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandishi TSN atajwa kuzima uasi

SIRI ya mashujaa waliozima jaribio la kutaka kupindua Serikali ya Tanzania chini ya Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1982, imewekwa hadharani kwamba mashujaa hao walikuwa vijana wawili; mmoja dereva wa teksi na mwingine mwandishi wa habari wa gazeti la Serikali la Daily News. Daily News ni moja ya magazeti yanayochapishwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali ya TSN, mengine yakiwa HABARILEO, HABARILEO Jumapili, Sunday News na SpotiLEO.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Uasi CHADEMA

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kimenasa mkakati mzito uliolenga kuwarubuni viongozi wa wilaya wa chama hicho wafanye uasi bila...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache Serikali ifanye uasi?

MJADALA kuhusu uandikaji wa Katiba mpya umekuwa kama mgonjwa mahututi anayehitaji uangalizi maalumu. Mgonjwa mahututi asipoangaliwa vizuri anaweza kufa lakini akaacha madhara makubwa kwa wanaomhudumia. Tumesikia mengi katika mjadala wa...

 

10 years ago

Vijimambo

uasi Dominic Ongwen afikishwa Hague

Ongwen Kulia akiamkuana na kamanda mkuu wa kikosi cha Afrika kinamsaka mkuu wa kundi la LRA Jopseh Kony
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.

Ongwen, alikuwa kamanda mwenye kuogopewa sana katika kundi la waasi la LRA na alikamatwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mapema mwezi huu.

Uganda ilikubali kwamba muasi huyo apelekwe katika mahakama ya kimataifa ya ICC, licha ya nchi hio kuwa mkosoaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Tumedhamiria kusambaratisha uasi DRC

 Rais Jakaya Kikwete amesisitiza kuwa Tanzania inayo nia ya dhati ya kukabiliana na vikundi vya uasi vinavyo vuruga amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

 

11 years ago

Tanzania Daima

RIEK MACHAR: Kutoka Makamu Rais hadi uasi

SUDAN Kusini ni miongoni mwa nchi kadhaa ambazo zimegeuka na kuwa pasua kichwa barani Afrika kutokana na kugeuzwa kuwa uwanja wa mapambano kila uchao. Nchi hiyo imekuwa ikizifanya Jumuiya za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCRA kuzima analojia Tabora

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), leo inatarajia kuzima mitambo ya kurusha matangazo ya televisheni ya mfumo wa utangazaji wa analojia mkoani hapa. Akizungumza kwenye warsha iliyohusisha wadau katika Hoteli ya...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Uchafu ulisababisha kivuko kuzima’

Uchafu unaotupwa baharini hasa wa mifuko ya plastiki ndiyo uliosababisha kuzima ghafla kwa injini ya Kivuko cha Mv Magogoni katikati ya wiki hii.

 

10 years ago

Mtanzania

Kashfa ya Escrow, Jk kuzima au kuchochea moto

 

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

FREDY AZZAH na SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
IKIWA leo ni siku ya 23, tangu Novemba 29,mwaka huu Bunge lilipopitisha maazimio nane juu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete anatazamiwa kuuzima ama kuchochea moto wa sakata hilo atakapozungumza na wazee wa Jiji la Dar es Saalam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, Rais Kikwete leo atazungumza na wazee hao katika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya yaomba msaada kuzima moto

Serikali ya Libya inaomba msaada wa kimataifa ilikuzima moto mkubwa unaoendelea kuchoma hifadhi ya mafuta mjini Tripoli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani