Kikwete: Tumedhamiria kusambaratisha uasi DRC
 Rais Jakaya Kikwete amesisitiza kuwa Tanzania inayo nia ya dhati ya kukabiliana na vikundi vya uasi vinavyo vuruga amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-m3EnQz3obIs/Vltux01FLsI/AAAAAAAIJFg/O_nSR_6S0Ww/s72-c/kassim.jpg)
TUMEDHAMIRIA KUWATUMIKIA WATANZANIA - MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-m3EnQz3obIs/Vltux01FLsI/AAAAAAAIJFg/O_nSR_6S0Ww/s400/kassim.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumapili, Novemba 29, 2015) wakati akifunga maadhimisho ya miaka 20 ya Dayosisi ya Pwani ya Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) kwenye ukumbi wa PTA, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
“Serikali imeanza kukabiliana na upotevu wa...
11 years ago
Habarileo13 May
Dola yaombwa kusambaratisha ugaidi
TUME ya Kikristo ya Huduma za Jamii (CSSC), imeomba Serikali kutumia dola kusambaratisha mtandao wa ugaidi, ambao umekuwa ukilipua makanisa na maeneo yake.
11 years ago
Michuzi17 Apr
Kikwete apendekeza DRC izungumze na M23
![Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014) Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014)](http://www.dw.de/image/0,,17572377_303,00.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nWfSqXDZWoY/XoHqX7UeUYI/AAAAAAALlio/vPbRn639CSwHdzNWM_7owCA6H_p3jctwwCLcBGAsYHQ/s72-c/hCWUmxf2_400x400.png)
TAKUKURU YAKANUSHA KUSAMBARATISHA MKUTANO WA PROF. MKUMBO, MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nWfSqXDZWoY/XoHqX7UeUYI/AAAAAAALlio/vPbRn639CSwHdzNWM_7owCA6H_p3jctwwCLcBGAsYHQ/s400/hCWUmxf2_400x400.png)
TAASISI ya kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na Mamlaka hiyo kusambaratisha mkutano wa Katibu mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa. Kitila Mkumbo na wajumbe wa mkutano mkuu wa Wilaya (CCM) Iramba, Mkoani Singida.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka hiyo leo Machi 30 imekanusha na kueleza kuwa taarifa hiyo iliyokuwa ikisambazwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook sio kweli.
Imeelezwa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Uasi CHADEMA
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kimenasa mkakati mzito uliolenga kuwarubuni viongozi wa wilaya wa chama hicho wafanye uasi bila...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mppV2Wxghu4/U29xgY6mszI/AAAAAAAFg9s/6SUYUCXyFHE/s72-c/D92A0362.jpg)
Rais Kikwete awasalimu watoto mapacha DRC
![](http://4.bp.blogspot.com/-mppV2Wxghu4/U29xgY6mszI/AAAAAAAFg9s/6SUYUCXyFHE/s1600/D92A0362.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Rais Kikwete: Shutuma dhidi ya Tanzania DRC ni za kudharauliwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Ni kusadikika tu kwa watu wanaojipa kazi ya kufikiria kwa niaba ya Tanzania
Tanzania imesema kuwa ni jambo la kusadikika na kufikirika tu kwa baadhi ya watu kudai kuwa haiko tayari kukabiliana na vikundi vya uasi na ugaidi (negative forces) vilivyobakia vikivuruga amani na kusababisha ukosefu wa utulivu ndani ya nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Badala yake, Tanzania inaendelea kuwa tayari...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Tuache Serikali ifanye uasi?
MJADALA kuhusu uandikaji wa Katiba mpya umekuwa kama mgonjwa mahututi anayehitaji uangalizi maalumu. Mgonjwa mahututi asipoangaliwa vizuri anaweza kufa lakini akaacha madhara makubwa kwa wanaomhudumia. Tumesikia mengi katika mjadala wa...
11 years ago
News Of Rwanda Group13 Feb
Inside story of why President Kikwete deployed Tanzanian troops in DRC
News Of Rwanda Group
News Of Rwanda Group
At an urgent summit of the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) in Kampala in late September 2012, Tanzania's President Jakaya Kikwete spoke passionately of how Tanzania was eager to end the conflict in DR Congo. President ...
We must step up war on poachingIPPmedia
Tanzania dismisses British paper elephant poaching claimsDaily News
Prince Charles told not to...