TAKUKURU YAKANUSHA KUSAMBARATISHA MKUTANO WA PROF. MKUMBO, MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nWfSqXDZWoY/XoHqX7UeUYI/AAAAAAALlio/vPbRn639CSwHdzNWM_7owCA6H_p3jctwwCLcBGAsYHQ/s72-c/hCWUmxf2_400x400.png)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
TAASISI ya kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na Mamlaka hiyo kusambaratisha mkutano wa Katibu mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa. Kitila Mkumbo na wajumbe wa mkutano mkuu wa Wilaya (CCM) Iramba, Mkoani Singida.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka hiyo leo Machi 30 imekanusha na kueleza kuwa taarifa hiyo iliyokuwa ikisambazwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook sio kweli.
Imeelezwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboACT—WAZALENDO WAMCHUKULIA FOMU YA URAIS PROF. MKUMBO
Mwakilishi wa chama cha ACT WAZALENDO na Katibu mkuu wa chama ACT WAZALENDO, Samsoni Mwigamba akipewa maelekezo na Afisa tawala wandamizi wa Tume ya uchaguzi (NEC),George Baasha kuhusiana na vitu vinavyotakiwa kwenye uchaguzi mkuu pamoja na kampeni zitakazo anza hivi karibuni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eyIRNWL2OyI/XtqGp7rfpoI/AAAAAAALsxc/bUCv2id8Eegsq9BCga2qda5yIlM6Ij41ACLcBGAsYHQ/s72-c/14e5bce3-4ff6-4ad3-a5b3-dcdd00acb8b9.jpg)
Prof. Mkumbo awatembelea Sekondari ya Msalato, agawa vitakasa mikono na eneo la kunawa
![](https://1.bp.blogspot.com/-eyIRNWL2OyI/XtqGp7rfpoI/AAAAAAALsxc/bUCv2id8Eegsq9BCga2qda5yIlM6Ij41ACLcBGAsYHQ/s640/14e5bce3-4ff6-4ad3-a5b3-dcdd00acb8b9.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua rasmi eneo maalumu la kunawa mikono kwa wanafunzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZleUors0eTY/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wRfSy0dtpjg/XsfTcU58iXI/AAAAAAALrSM/9EUDvky_hocM9lH7Xrk5dPMH2BzeqOdSwCLcBGAsYHQ/s72-c/039dc0be-9e79-4f0f-80a8-c3b91c103f6e.jpg)
Tunatengeneza vitakasa mikono kwa sababu tunawathamini wafanyakazi na wananchi ambao ndio wadau wetu wakuu katika huduma-Prof. Mkumbo
![](https://1.bp.blogspot.com/-wRfSy0dtpjg/XsfTcU58iXI/AAAAAAALrSM/9EUDvky_hocM9lH7Xrk5dPMH2BzeqOdSwCLcBGAsYHQ/s640/039dc0be-9e79-4f0f-80a8-c3b91c103f6e.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo (kushoto) akionyeshwa utaratibu unaotumika katika kuchanganya Kemikali zinazotumika kuandaa vitakasa mikono katika maabara ya maji jijini Dodoma. Wizara ya Maji katika kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) wataalam wake wameweza kutengeza vitakasa mikono kwa ajili ya wafanyakazi na wateja wanaofika maofisini kupokea huduma mbalimbali.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/082fc3a7-096a-47f6-ae0b-a40eb45fb335.jpg)
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kinana amaliza ziara yake Mkoani Singida kwa kuzuru Singida Vijijini
Mbunge wa Singida Mashariki Lazaro Nyalandu akimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati wa mapokezi ya kiongozi huyo wa Chama, katika kata ya Msisi, Singida Vijijini, jana Mei 26, 2014.
Wanachama wa Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi wakimvalisha mgolole Kianana kabla ya kufungua tawi la Wazazi la Kata hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua tawi la Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi, wilaya ya Singiga Vijijini.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishiriki kuvuna...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s72-c/_MG_1885.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOANI SINGIDA,KESHO KUUNGURUMA SINGIDA MJINI LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Magufuli aendelea na kampeni zake mkoani Singida, leo kuunguruma Singida mjini LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
PICHA NA MICHUZI JR-SINGIDA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s72-c/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu Maji, Prof. Mkumbo awatoa hofu wanafunzi wanaojiandaa kwa mtihani shule ya Sekondari Tumaini, wapewa vitakasa mikono vya kutumia kwa siku 60
![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s640/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua eneo la kunawa mikono katika kukabiliana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) katika shule ya sekondari ya Tumaini, mkoani Singida ambapo wanafunzi zaidi ya 100 wanajiandaa kwa mtihani wa kidato cha Sita. Kulia kwake anayeshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya...
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
TAKUKURU Singida yawapiga msasa waandishi mapambano dhidi ya rushwa
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Joshua Msuya,akifungua mafunzo ya ushirikishwaji waandishi wa habari katika mapambano dhidi ya rushwa yaliyohudhuriwa na wanachama wa Singida Press Club mkoa wa Singida.Mafunzo hayo ya siku moja,yalifanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa TAKUKURU mjini hapa.Wa kwanza kushoto ni kaimu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida,Jaffar Uledi na kulia ni Domina Mukama mratibu wa usimamiaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo (PETS coordinator).