Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Changamoto sekta ya kilimo zatajwa

TANZANIA inakabiliwa na changamoto zinazosababisha kudidimia kwa sekta ya kilimo na kuhatarisha upatikanaji wa hakika wa chakula. Mkuu wa Taasisi ya Shirikishi Media kwa Maendeleo ya Jamii (PMCD), Josephat Mwanzi,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Changamoto za wakaguzi wa ndani zatajwa

BAADHI ya Wakaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali wamekuwa wakishindwa kufanya kazi zao kwenye utaratibu mzuri kutokana na wengi wao kutokuwa na ujuzi wa taratibu hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Changamoto za kulinda watoto zatajwa

KUTOKUWAPO kwa uhusiano wa karibu kati ya sheria, sera, miongozo na kanuni, bado ni changamoto kubwa katika kulinda na kuwasimamia watoto na vijana waliopo kwenye mazingira magumu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sekta zinazochangia gesijoto zatajwa

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Binilith Mahenge, amesema sekta mbalimbali zikiwamo za nishati, kilimo, misitu na viwanda zinachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la gesijoto duniani. Mahenge alisema...

 

10 years ago

Michuzi

Changamoto maboresho usimamizi wa fedha za umma zatajwa

Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari. Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari.Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada mbalimbali. Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada mbalimbali.Msemaji wa Wizara ya Fedha Ingiahedi Mduma (katikati) akiuliza swali kwa Mratibu wa Mradi wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) hayupo pichani. Msemaji wa Wizara ya Fedha Ingiahedi Mduma (katikati) akiuliza swali kwa Mratibu wa Mradi wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) hayupo pichani.Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) akifafanua jambo juu ya utekelezaji wa mradi huo kwa wanahabari. Kulia ni Mratibu wa Moboresho ya Usimamizi wa Fedha...

 

10 years ago

Michuzi

Changamoto za maboresho ya usimamizi wa fedha za umma zatajwa

PROGRAMU ya Moboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma (Public Finance Management Reform Progamme – PFMRP) imetaja changamoto zinazoukabili mradi huo licha ya mafadikio mengi iliyoyapata wakati mradi huo ukiingia awamu ya nne ya utekelezaji wake. 
Mratibu wa Mradi huo,Bwa.Sebastian Ndandala ametaja changamoto hizo leo mjini Kibaha alipokuwa akiwasilisha mada kwa waandishi wa habari pamoja na waendeshaji wa mitandao ya jamii ikiwa ni hatua ya kushirikisha vyombo vya habari juu ya utekelezaji wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA KILIMO NA WAZIRI WA VIWANDA WAONGOZA KIKAO KAZI KUJADILI UFUNGAMANISHAJI SEKTA YA KILIMO NA MIKAKATI YA KUTAFUTA MASOKO

Waziri wa Viwanda na Bishara Mhe Innocent Nashungwa (Kulia) akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi cha kujadili namna ya kufungamanisha uchumi wa Kilimo na Viwanda Jijini Dodoma, leo tarehe 1 Aprili 2020.Mshauri wa masuala ya Maendeleo ya Viwanda vya Kilimo wa Taasisi ya kuendeleza Kilimo Afrika (AGRA) Ndg Peniel Lyimo akichangia mada wakati wa kikao kazi kilichoongozwa na Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa cha kujadili namna...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Bilal aeleza changamoto za kilimo nchini

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amesema licha ya kuwa asilimia 75 ya Watanzania wanategemea kilimo kama ajira, bado kuna changamoto kubwa za kufikia mafanikio.

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda aipa changamoto sekta ya afya

Wadau wa Sekta ya Afya nchini wametakiwa kushirikiana na Serikali kuangalia namna ya kupunguza uhaba wa wataalamu wa afya ikiwamo madaktari na wauguzi.

 

11 years ago

Habarileo

EU yapiga jeki sekta ya kilimo

Mkuu wa Shughuli za Umoja wa Ulaya nchini Tanzania (EU) Balozi, Filiberto Sebregondi (kushoto) akibadilishana hati na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk Servacious Likwelile Dar es Salaam jana. Makubaliano hayo yanahusu fedha za msaada zaidi ya shilingi bilioni 134 ambazo EU itaipatia Tanzania katika kuendeleza miradi ya kilimo na usafirishaji. (Picha na Mroki Mroki).UMOJA wa Ulaya (EU) umetoa msaada Sh bilioni 135 kwa ajili ya kuboresha sekta ya kilimo nchini pamoja na kupunguza vikwazo vya usafirishaji barabarani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani